Hatimaye fedha kurudi mitaani

Hatimaye fedha kurudi mitaani

Hivi kukitokea financial meltdown kama iliyotokea ulaya mwaka 2008, ni nani atam'bale out' mwenzie? Nakumbuka srikal za ulaya na marekani ilibidi ziya'bale out' mabank. Sasa ikitokea hapa kwetu ambapo serikali ndio inakuwa bailed out sijui itakuwaje?
Serikali ilifilisi kwanza bank, sasa inataka mapemaa bank zii bail out.Sasa ivi serikali ndio ipo hoi,huku imedhoofisha mabenk.ingekuwa bank ningewaambia wateja wetu kwanza ndio wanakopeshwa kwa vile kiasi kilichopo ni kidogo na wateja ndio wenye haki kwanza.Serikali ifungue account na kuweka hela kwa miezi 6 account ikisoma vizuri ndipo waombe mkopo..
 
kwa serikali kukopa za ndani ni kuondoa hata zile chache zilizopo mitaani kwakuwa baada ya kukopa serikali inapeleka bank kuu kama ifanyavyo kwenye makusanyo ya mapayo.maana yake hela zitapungua zaid ya sasa kwakuwa serikali saiz inaweka fedha zake bank kuu.na sio bank binafsi ambazo wafanyabiashara na watu wengine wanachukua mikopo na hela kurud kwenye mzunfuko.
Na serikali ikishakopa benki za ndani nazo zitaongeza riba hali ndo itazidi kuwa tight
 
Back
Top Bottom