Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Serikali ilifilisi kwanza bank, sasa inataka mapemaa bank zii bail out.Sasa ivi serikali ndio ipo hoi,huku imedhoofisha mabenk.ingekuwa bank ningewaambia wateja wetu kwanza ndio wanakopeshwa kwa vile kiasi kilichopo ni kidogo na wateja ndio wenye haki kwanza.Serikali ifungue account na kuweka hela kwa miezi 6 account ikisoma vizuri ndipo waombe mkopo..Hivi kukitokea financial meltdown kama iliyotokea ulaya mwaka 2008, ni nani atam'bale out' mwenzie? Nakumbuka srikal za ulaya na marekani ilibidi ziya'bale out' mabank. Sasa ikitokea hapa kwetu ambapo serikali ndio inakuwa bailed out sijui itakuwaje?