Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,807
Teh wanagombania utamu
Hujaomba wa moyoni ubaki wewe?
Hahahaa hujaona utamu aje?
Zile kelele zote huwa za nini sasa?
Lol
Hahahahaa zuga gani ulitaka kila saa lol
Hii kitu hii kitu noma
Hahahahaa kumwacha ngumu lol
Nimetoka nae mbali hata kabla ya jukwaa la wakubwa halijaanzishwa
Ila mapenzi yetu na we ni daima usiogope
Hehehe ukizidiwa utakuja mwenyewe
Bora sijatajwa naendelea na libeneke langu hapa
My wife wangu Yummy uko wapi njoo hutu tule raha
Nilikwambia achana na vibabu BADILI TABIA ukan'gang'ana ukomeeeee.......njoo huku nikupe kipoozeo kwa muda tu lakini,afu ukimaliza unirudishie kifaa changu
Mr Rocky sina wivu coz nguvu ya dola ninayo mimi
we ngoja tu nakuweka kiporo