Hatimaye Erickb52 awa Mod wa Chit-Chat

Hatimaye Erickb52 awa Mod wa Chit-Chat

Miss you CUTE
Hujambo? Mr Rocky ananinyanyasa eti kisa Amyner kasafiri hajui wewe upo kwa ajili yangu
Hebu mwambiw atulie kwanza

Naona halijui hilo :.....sasa ndio ajue na asikunyanyase .....umeshakula dinner ama bado?
 
Last edited by a moderator:
Duh kweli ametuchanganya sana
Hapa akija Kaizer atakuambia ni wake na alikuwa nae jana siku nzima na akija babu Asprin pia atasema juzi alikuwa nae na Ijumaa hawa Kaizer na babu waligombana kisa Yummy
Sasa mimi sisemi kitu na najitoa rasmi naenda zangu kwa Erotica nikapate mambo mazito ya mahaba

Kaizer najua ni wa kale huyo wala haiumi sana maana alimpiga kibuti cha nguvu
Babu alienda kwake "kutibiwa" maradhi ya tumbo Babu Asprin ana dawa moja hiyo matata sana
Wewe najua ulikuwa nae wakati unasoma shule ya vidudu kwa hiyo enzi zako hata kidude chako kilikuwa cha mtoto hakuna madhara na hata leo anasema wewe Erickb52 ni joka la kibisa halina madhara
Kwa sasa katulia kwangu sana na ndo maana hafurukuti wala haendi tena kwa akina Kaizer na Babu Asprin wala haji kwako Erickb52
 
Sasa ndio ushakua aama bado mana kuna mtu nataka umpe ban ya maana yani life ban.......
Nambie tu nani anakusumbua CUTE
Tena nampa ban hata akija na ID nyingine haingii kitu IP address inatosha kumaliza
 
Last edited by a moderator:
Naona halijui hilo :.....sasa ndio ajue na asikunyanyase .....umeshakula dinner ama bado?

Cute shikamooo
Nimekumiss wewe balaa kama mbu alivyomiss damu ya binadam
Hujambo
Achana na Erickb52 hana issue
Kwanza ile gari yake kaazima kwa Kaizer
na nyumba anayokaa ni ya Amyner
Kula kwake mpaka abangaize kwa Babu Asprin na Bishanga
Nguo anazovaa ameazima kwa The Boss
Njoo kwa wenye nazo upate raha
 
Kaizer najua ni wa kale huyo wala haiumi sana maana alimpiga kibuti cha nguvu
Babu alienda kwake "kutibiwa" maradhi ya tumbo Babu Asprin ana dawa moja hiyo matata sana
Wewe najua ulikuwa nae wakati unasoma shule ya vidudu kwa hiyo enzi zako hata kidude chako kilikuwa cha mtoto hakuna madhara na hata leo anasema wewe Erickb52 ni joka la kibisa halina madhara
Kwa sasa katulia kwangu sana na ndo maana hafurukuti wala haendi tena kwa akina Kaizer na Babu Asprin wala haji kwako Erickb52
Hahahahahaaaa Mr Rocky umejitahidi kujidefend lol
Ngoja wahusika wengine waje uone...!
Mwenzako Young Master alisema hivyo kwa cacico ila alikuja kubaini na akasema amekoma na hamtaki tena coz kila mwanaume wakwake lol Utapata pressure Mr Rocky
 
Last edited by a moderator:
Naona halijui hilo :.....sasa ndio ajue na asikunyanyase .....umeshakula dinner ama bado?
Nimekula ma dia ila njaa haijaisha bado...
Niandalie ntakuja baadae kidogo eeeh
Love you! Mr Rocky upo?
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye bold sijaelewa Kongosho

Hutakiwi uelewe mana ni mazungumzo baina ya kongosho na asprin......au kwakua unautaka huo umod ndio mana wataka kuelewa misamiati yote.....na kongosho kaweka ivo makusudi ili usielewe ww erick
Teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Cute shikamooo
Nimekumiss wewe balaa kama mbu alivyomiss damu ya binadam
Hujambo
Achana na Erickb52 hana issue
Kwanza ile gari yake kaazima kwa Kaizer
na nyumba anayokaa ni ya Amyner
Kula kwake mpaka abangaize kwa Babu Asprin na Bishanga
Nguo anazovaa ameazima kwa The Boss
Njoo kwa wenye nazo upate raha
Najua kuna vingi tu navimiss ila mtoto anakila kitu so hizo nyumba na magari hana muda navyo...
Anachopata kwangu hajawahipata kwa mwanaume mwingine so hapa hata alale njaa haniachi...hata apande bodaboda mtoto kafa kaoza lol
 
Hutakiwi uelewe mana ni mazungumzo baina ya kongosho na asprin......au kwakua unautaka huo umod ndio mana wataka kuelewa misamiati yote.....na kongosho kaweka ivo makusudi ili usielewe ww erick
Teh teh teh
Hahahahaaa ila najua hata wewe hujaelewa na wengi tu hawataelewa lol
 
Najua kuna vingi tu navimiss ila mtoto anakila kitu so hizo nyumba na magari hana muda navyo...
Anachopata kwangu hajawahipata kwa mwanaume mwingine so hapa hata alale njaa haniachi...hata apande bodaboda mtoto kafa kaoza lol
Changa la macho hilo
Hivi Erickb52 una;ijua limbwata wewe au unalisikia
Ngoja niisheie hapa
 
Zawadi gani? Kwanza una sh ngapi?

Afu siku hizi nimeongeza asali na masega yake kwa hiyo ukitaka unatengeneza nta.
Basi bana kama unataka hela ngoja hii zawadi ya tabasamu niihamishie kwa cacico. Kamata denda meeen!!

Picture1.jpg
 
Last edited by a moderator:
Nimekula ma dia ila njaa haijaisha bado...
Niandalie ntakuja baadae kidogo eeeh
Love you! Mr Rocky upo?

Unataka kula nn mana sina kitu ndani .....ivo njoo na vitu alafu usisahau kuku rost na ndizi mana niko na rafiki zangu wa4 wanataka kukujua....nimesahau na kiti moto kilo 2....niwekee na vocha nataka nimpigie mama si unajua tena
 
Last edited by a moderator:
Hutakiwi uelewe mana ni mazungumzo baina ya kongosho na asprin......au kwakua unautaka huo umod ndio mana wataka kuelewa misamiati yote.....na kongosho kaweka ivo makusudi ili usielewe ww erick
Teh teh teh
Thats my girl.... nikununulie hii makitu kama shukrani?

attachment.php
 
Unataka kula nn mana sina kitu ndani .....ivo njoo na vitu alafu usisahau kuku rost na ndizi mana niko na rafiki zangu wa4 wanataka kukujua....nimesahau na kiti moto kilo 2....niwekee na vocha nataka nimpigie mama si unajua tena

Kuna mtu anachunwa hapa live bila chenga
CUTE mwambie asisahau na castle lite kama sita hivi
Na mwambie unataka baadae uende salon kutengeneza nywele zako
na ile perfume yako imeisha
Erickb52 upoooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom