Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lol.....nimependa ulivyosisitiza labda uwe unagombaniwa wewe daaah!.
mkuu unajua unanisikia??..mi sipigwi ban. hata wakinipiga zinadunda kama yoyo. vilevile mimi nmeshindikana. wanaonifuatilia nawatoa kwenye mstali yaani nawapoteza mbaya. kama hauamini muulize INNOVATOR, PainKiller, Fung na Paw. chezeya mimi weye. mia
its amazing watu mnavyojuana humu, inabidi siku mfanye bbq mkutane
Unatamba kwa u mod wa chit chat? mie leo nimesaini contract na Mike Mckee ya mpunga mrefu.
mie ndio nitakuwa na run jf an kuamua nani awe mod. jukumu la kwanza cancellation ya
wewe Erickb52 kuwa mod hadi uweze kuniunganisha kwa Cool Gentleman.
jamaa mtata sana yule kunikubali.
mtotowamjini mbona hata mm na ww twajuana. si ulisema siku ile una niimagine? :tonguez: