Hatimaye Erickb52 awa Mod wa Chit-Chat

Hatimaye Erickb52 awa Mod wa Chit-Chat

Thats my girl.... nikununulie hii makitu kama shukrani?

attachment.php

Yah! Asante
 
Unataka kula nn mana sina kitu ndani .....ivo njoo na vitu alafu usisahau kuku rost na ndizi mana niko na rafiki zangu wa4 wanataka kukujua....nimesahau na kiti moto kilo 2....niwekee na vocha nataka nimpigie mama si unajua tena
Sawa CUTE nakuja na maini uandae roast ya ukweli na juice ya mapera
 
Last edited by a moderator:
Tatizo limbwata lishaexpire hapa
Nimekunywa dawa ya kupoteza nguvu ya limbwata


Ndo maana Erickb52 nakuambia nitafute nikuambie siri
Alikokuwa weekend hii wakati amekuaga kuwa anaenda kumsalimia shangazi yake sijua anakaa kipawa sijui wapi
Ilikuwa ameenda kukazia dawa yake pale kilwa masoko
 
Ndo maana Erickb52 nakuambia nitafute nikuambie siri
Alikokuwa weekend hii wakati amekuaga kuwa anaenda kumsalimia shangazi yake sijua anakaa kipawa sijui wapi
Ilikuwa ameenda kukazia dawa yake pale kilwa masoko
Mi sitaki pressure we kama ulinipiga bao weekend basi ishakula kwangu ila hutapata nafasi tena kwanza namshangaa Yummy atakupendaje wewe wakati leo uko na CUTE kesho uko na Zinduna lol
 
Last edited by a moderator:
Mi sitaki pressure we kama ulinipiga bao weekend basi ishakula kwangu ila hutapata nafasi tena kwanza namshangaa Yummy atakupendaje wewe wakati leo uko na CUTE kesho uko na Zinduna lol

Yummy hana maneno huwa akiwa hayuko kwenye mood ananiruhusu niende zangu kwa akina CUTE
So wewe nenda taratibu ukikuta mkuki nje jua nipo na ukikuta kimya wewe endelea
Ila ujue kuwa mapochopocho na viwalo unavyovaa natoa pesa mimi kwa CUTE
 
mtu chake ujue hapa nashangaa
Yeye ana Yummy na mimi ninane Amyner
Ded kwa Mr Rocky wimbo Sina Makosa
Erickb52 wasi wasi wangu ni kuwa wewe hutaki kukubali kuwa hapa kwa CUTE ni changa la macho
Hebu basi tukae pembeni tumuachie mtu chake aendeleze libeneke hapo
We kaa na Amyner na mimi nikae na Yummy wangu bana
Kwanza nampenda sana my wife wangu sweet potato Yummy
 
Kuna mtu anachunwa hapa live bila chenga
CUTE mwambie asisahau na castle lite kama sita hivi
Na mwambie unataka baadae uende salon kutengeneza nywele zako
na ile perfume yako imeisha
Erickb52 upoooo

hhahahhah u made ma day
 
Yummy hana maneno huwa akiwa hayuko kwenye mood ananiruhusu niende zangu kwa akina CUTE
So wewe nenda taratibu ukikuta mkuki nje jua nipo na ukikuta kimya wewe endelea
Ila ujue kuwa mapochopocho na viwalo unavyovaa natoa pesa mimi kwa CUTE

Mwe hii kali ya mwaka
 
Erickb52 wasi wasi wangu ni kuwa wewe hutaki kukubali kuwa hapa kwa CUTE ni changa la macho
Hebu basi tukae pembeni tumuachie mtu chake aendeleze libeneke hapo
We kaa na Amyner na mimi nikae na Yummy wangu bana
Kwanza nampenda sana my wife wangu sweet potato Yummy
Hahahahaaaa simwachii aisee lol
Unajua mambo ya CUTE siko tayari kuyakosa hata kidogo
 
Last edited by a moderator:
Siharibu Cv ila CV yako inajieleza yenyewe bila chenga CUTE

Kwan mtu akija kwangu kuna shida gani au ndio unawaza tu mambo yako unafikiri watu wote wako ivo.....dont jugde ze book by its cover men
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom