Tawi lake laitwaje mana yaonesha kiko juu sana
Linaitwa the College of Ubishi and Umbeya
tandale Uzuri Cumpus
Ada ni dola za tandale laki Moja ambazo ni sawa na TZ money One Million
Tawi lake laitwaje mana yaonesha kiko juu sana
Wapi asprin aje aone mistari yake uku imeibiwa hhhhhahaha watu wanatunga mradi tu mtu aingie king
Linaitwa the College of Ubishi and Umbeya
tandale Uzuri Cumpus
Ada ni dola za tandale laki Moja ambazo ni sawa na TZ money One Million
Hivi kumbe Babu Asprin nae ana hizi swagga
Duh ndo maana Kongosho haondoki pale
Anapenda sana hizi swagga
Zinduna nakuomba jamani uje pande hizi huyu bwana mdogo Erickb52 ananivurugia ndoa yangu kabisaaa.......atasutwa u.chi huyu ohooooo.
Kumbe wakati wote ulikuw aunajifanya rafiki kumbe unamzungukia my wife wangu Yummy
Kwa taarifa yako Yummy ni my wife wangu na hutokaa umpate milele
Yummy my wife wangu my sweet potato hebu njoo pande hizi umuangalie Erickb52 anavyoongea mambo ya ajabu hapa
Hehe umesahau kuwa mi ni b52 niliyeshika hatma ya uwepo wako chitchat ooh
Niko hapa mahabuba wangu,achana na huyu mchongaji yatamshinda siku si nyingi........
Hahahahaaaa CUTE mylove uko wapi? Hebu ukuje hapa tutoe ngoma droo na Mr RockyMy wife wangu Yummy njoo huku bana achana na Erickb52 mabomu yake yameingia maji hayalipuki
Njoo my sweet potato my kindergaten wangu (ooopppss hivi hiyo sio ya watoto kweli hiki kiinglish balaa) njoo hapa mahabuba wangu mti kasoro matunda ila maua debe
Teh hashindwi mtu
Hivi ndo unanikana laivu?
My wife wangu Yummy njoo huku bana achana na Erickb52 mabomu yake yameingia maji hayalipuki
Njoo my sweet potato my kindergaten wangu (ooopppss hivi hiyo sio ya watoto kweli hiki kiinglish balaa) njoo hapa mahabuba wangu mti kasoro matunda ila maua debe
Kaizer anatumiwa msg za kumtaka apitishe krate la castle lite hapa home maana leo kuna kukesha
Si unajua yeye ni supplier
hakuna wivu hapo Erickb52
We endelea na CUTE wako sisi hapa tuko gado
mambo yanaendelea bana
Yummy hebu ongeza sauti ya redio jirani zetu hapa Erickb52 na CUTE wasisikilize mambo yetu bana maana naona Erickb52 anaanza chabo zake
Switati unanikosha weyeee adi raha......