Edward Sambai
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 2,822
- 3,832
Sasa kama una amini kwa nini unauliza, Sambai acha masihara Mkuu.
Kua na imani juu ya jambo fulani haina maana ya kutotimiza wajibu.
Ni hivi, Juma ni muisilamu na imani yake ni kwamba siku ya kiama ataiona pepo, Lakini kuwa na imani ya kuiona pepo haimfanyi Juma asiende msikitini.