Kiuno pekee hakijawahi kuwavusha vicheche popoteWadada wa kawaida silaha yao inakuwa mauno. Warembo silaha yao inakuwa uzuri. Sasa mwamba akikatikiwa akalia kiume anafanya maamuzi ya kushangaza.
Changudoa kwenye ubora wako.Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.
Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Mpe ushauri mwenzio sio kila Siku kunisagia kunguni mmILA DAH!
majibu yako yanachekesha na kutia huruma!
Najikuta nacheka kila your reply!
Pole mwaya, utapata mwingine
NakaziaAkili zetu mda wa kuoa percentage purity inasoma 99.6%
Ha ha ha....Kwa kweli,ndio atajua Kwa Nini wanawake Huwa hututongozi,tunatongozwa.
Labda ukaroge kenge wewe. Hakuna maombi MUNGU anayajibu ya kumuombea mwingine mabaya. MUNGU sio wewe. MUNGU anajibu kwa namna ya ajabu sana. Ukikazana kuombea wengine mabaya utapoteza muda tu. Ukisamehe na kusahau kabisa lakini,narudia lakini iwe umeumizwa kweli kwa Jambo mliloahidiana. Otherwise utapoteza tu muda
huna X-factor na pia you are not '' the woman of substance''
jamaa nilimuuliza swali kwa nini kakuacha akanijib hivyo....na ni kweli mate hufai kuwa mke wake...
Usikute Karma imeanza kufanya kazi kwako mana huenda nawe kuna mchizi ulimzingua sababu ya huyo bosi wako.Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.
Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Ndiyo kwanza mwezi wa 2 dada. Hakika dada yangu ume uanza mwaka vibaya.
Umechunda Dada.
Ila unajua nini,kasafishe nyota....Tatizo Nyota.
NITAFUTE
Pole shoga
Usikute Karma imeanza kufanya kazi kwako mana huenda nawe kuna mchizi ulimzingua sababu ya huyo bosi wako.
Sasa kutoka na mdogo wake unahisi unamkomoa
Umeongelea " Kidimbwi"..pengine tatizo la kutokuolewa kwake lilianzia hapa.
Hawapo real ndio hicholabda kuna kitu boss kaona wewe huna na uyo alieolewa anacho ko usipanic madam.
Mimi nina mke watoto wako shule, we endelea kusubiri kujirahisisha kwa mabosi huku umri unaenda ukiamini watakuoa mwishowe wanaishia kukuchezea na kuoa wengine.... Jiulize kwanini bosi kaenda kuoa mwanamke mwingine na sio wewe, hapo ni kwamba kaona wewe ni malata na hufai kuitwa mke.Wewe ni wakuliwa tu na kutemwa kama Big G bata wahed
Mbn kama unajiongelea ww na kujipa matumaini
Ww kama uliachwa na demu wako coz of another man ujue hukua na sifa tu
Mimi nina mke watoto wako shule, we endelea kusubiri kujirahisisha kwa mabosi huku umri unaenda ukiamini watakuoa mwishowe wanaishia kukuchezea na kuoa wengine.... Jiulize kwanini bosi kaenda kuoa mwanamke mwingine na sio wewe, hapo ni kwamba kaona wewe ni malata na hufai kuitwa mke.Wewe ni wakuliwa tu na kutemwa kama Big G bata wahed
Acha ulozi dada...tulia na wewe utapata wako...Kwan alikukuta bikra?Eti wife material
Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu.
Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Boss hanuniwiHao co workers wengine Ndio walionileta hapo ofisini
Uwezo wangu na elimu yangu Ndio ilinifanya nikaajiriwa
Na hata nikiondoka kila mtu na maisha yake