sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,377
Kila mtu ana ndoto zake na malengo yake.
Anjela msanii aliyekuwa konde gang wakashindwa kumpa huduma muhimu akasepa, ndoto yake kubwa ni kufanya kolabo na msanii wa kike namba moja east africa Zuchu.
Leo baada ya kuelezea namna atafurahi akitimiza ndoto yake hii, Zuchu alimpa go ahead ya kutuma wimbo ili wafanye collaboration.
Watanzania kama kawaida yao wameshatabiri itakuwa the best collabo kuwai kutokea kwa wasanii wawili wa kike hapa east africa.
All the best Anjela na Zuchu.
Anjela msanii aliyekuwa konde gang wakashindwa kumpa huduma muhimu akasepa, ndoto yake kubwa ni kufanya kolabo na msanii wa kike namba moja east africa Zuchu.
Leo baada ya kuelezea namna atafurahi akitimiza ndoto yake hii, Zuchu alimpa go ahead ya kutuma wimbo ili wafanye collaboration.
Watanzania kama kawaida yao wameshatabiri itakuwa the best collabo kuwai kutokea kwa wasanii wawili wa kike hapa east africa.
All the best Anjela na Zuchu.