Hatimae uhamiaji yametimia

Hatimae uhamiaji yametimia

yaan acha tu..watu tunama dvsin 2 na vyet vingne lkn tumechinjiw bahain..leo tumekutan kule ili kuuliz kulikon lakn majib zero tu.. Sas izo za wakaguz ten ni 70 cdhan kam kun aliyesom shul ya KIDUMU NA FAGIO atapat

kuna mtu hap alisem maneno flan watu wakamponda san..ila ukwel uko pale pele tafut ajira ukiw na kazi vinginev tunasaf kisaikolojia..
Vibarua vip ila ajir ndo ngum so tufany vibarua hat kwa wahind ili kujeng uzoef kwanz

Hapo kwa herufi kubwa umenifurahisha asee duh kaz ipo
 
yaan acha tu..watu tunama dvsin 2 na vyet vingne lkn tumechinjiw bahain..leo tumekutan kule ili kuuliz kulikon lakn majib zero tu.. Sas izo za wakaguz ten ni 70 cdhan kam kun aliyesom shul ya kidum na fagio atapat

kuna mtu hap alisem maneno flan watu wakamponda san..ila ukwel uko pale pele tafut ajira ukiw na kazi vinginev tunasaf kisaikolojia..
Vibarua vip ila ajir ndo ngum so tufany vibarua hat kwa wahind ili kujeng uzoef kwanz

Hii uliyoandika hapa ni lugha gani.....mi nimeona hata kichefuchefu kusoma
 
Wakuu naomba yoyote mwenye taarifa kuhusu lini watatoa majina ya mkaguzi msaidizi wa uhamiaji, naona kimya kimekuwa kingi mpaka naingiwa na wasiwasi, mi naona ni bora yatoke ili nijue kama simo niendelee na mipango mingine. pia yakitoka wakuu msisite kutuwekea hapa
 
Back
Top Bottom