Entreprenegro
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 601
- 132
hayo ya mkaguz msaidiz bado hayajakamilika? duuuuuhhh
Wakaguzi wasaidiz inaelekea majina yako mengi sana naona kila mtu humu ukaguzi tu
hayo ya mkaguz msaidiz bado hayajakamilika? duuuuuhhh
aOK, mimi nasubiri mwajiri wangu katibu mkuu sijui tatizo nini maana hata web yake leo haifunguki
aOK, mimi nasubiri mwajiri wangu katibu mkuu sijui tatizo nini maana hata web yake leo haifunguki
jipe moyo mkuu huenda mambo yakawa mazuri.mkaguz msaidiz itakuwa kilio tu kwa jinsi ninavyoyaona hapa uzun
Mkaguz msaidiz itakuwa kilio tu kwa jinsi ninavyoyaona hapa uzun
inafunguka
Jamani naombeni msaada wenu mwenye gazeti la mwananchi la jana aniangalizie jina DEOGRASIA MBILINYI nafasi ya konstebo,
kama mpo pia mutangaze basi, na hata kama umekosa pia tuambie tu tushauriane ujinga kama kawaida yetu. wengi waliokosa hawajaweka leaving certificate na cheti cha la saba, kama wanabisha waje hapa wabishe
Basis ufiki mbaliacha kutisha watu mi nimeitwa na sijaweka leaving certificate ya form four na six mana hawakuhtaji... labda hko cha la saba mana ndicho walichokitaka
jipe moyo, alafu ufanye mazoezi makali kuliko mechi. tukibahatika kuitwa naamini maswali yao yatakuwa ya kiutuuzima kweli ivyo hata kama bado awajatoa piga mazoezi makali kuliko mechi.
poa mwana tutakutana ukumbini sijui diamond jubilee au kurasini au ukonga
Basis ufiki mbali
wakaguzi watakaoitwa ni 350