Hatimae uhamiaji yametimia

Hatimae uhamiaji yametimia

Kamishna mkuu wa idara ya uhamiaji anatangaza kuitwa kwenye usaili kwa nafasi za konstebo na koplo wa uhamiaji. Usaili utafanyika kuanzia tarehe 09/06/2014 Hadi tarehe 26/06/ 2014 kuanzia asubuhi saa 2:00 asubuhi katika ukumbi wa baraza la maaskofu TEC Kurasini, barabara ya Nelson Mandela wote walioitwa watatakiwa kufika katika tarehe walizopangiwa

Waombaji wanatakiwa kuja na:

1. Vyeti halisi vya kuzaliwa(birth certificate)
 
Hatimaye uhamiaji wameshindwa kuvumilia kukaa na majina ya vijana, wayatoa majina hayo leo. Tafuta gazeti la Mwananchi la leo 26 May, 2014 ili ucheki jina lako. Kila la kheri wandugu mlioitwa.

Jamani wenye list ya majina tujuzane wengine tupo vijijini huku.....
 
Niko na kagazeti hapa naangalia angalia.
Mie kwa kweli simu ila nimeshangaa na kumpa hongera kuna mdada tulikuwa naye chuo yeye akichukua shahada ya elimu mie social science kaitwa nafasi ya koplo wa uhamiaji halafu tena kapata nafasi ya ualimu yupo huko TUKUYU anafundisha.
Ama kweli kila mtu na bahati yake jamani.
 
Niko na kagazeti hapa naangalia angalia.
Mie kwa kweli simu ila nimeshangaa na kumpa hongera kuna mdada tulikuwa naye chuo yeye akichukua shahada ya elimu mie social science kaitwa nafasi ya koplo wa uhamiaji halafu tena kapata nafasi ya ualimu yupo huko TUKUYU anafundisha.
Ama kweli kila mtu na bahati yake jamani.

Ful amani kwake,niangalizie stephan kombo na sophia wanyancha.
 
Jama ni naomba mniangalizie Zablon Isaya Mangare, niko kijijini!!!!!
 
Niko na kagazeti hapa naangalia angalia.
Mie kwa kweli simu ila nimeshangaa na kumpa hongera kuna mdada tulikuwa naye chuo yeye akichukua shahada ya elimu mie social science kaitwa nafasi ya koplo wa uhamiaji halafu tena kapata nafasi ya ualimu yupo huko TUKUYU anafundisha.
Ama kweli kila mtu na bahati yake jamani.

Sorry mkuu naomba unisaidie kuangalia majina yafuatayo then unijuze! 1. ALLY KALEMBELI JUMA. 2.MTEULE SIMON PETRO.
 
Sorry mkuu naomba unisaidie kuangalia majina yafuatayo then unijuze! 1. ALLY KALEMBELI JUMA. 2.MTEULE SIMON PETRO.

nafasi gani uliomba?
Hapa kuna majina mengi sana ukinitajia ndo inakuwa haraka.
 
hivi yametoka majina yotea?
kuna nafasi za kazi zilikuwa zinaitajika na muajiri alikuwa katibu wa wizara ya mambo ya ndani?
 
Back
Top Bottom