ndugu yako
Senior Member
- Mar 30, 2013
- 193
- 97
Hiyo ni kesi ngumu kidogo. Kifupi unapoenda jeshini, mwili unakuwa ni wa jeshi na ndio maana huwezi kwenda
kulala wakati wa chakula kisa hujisikii kula au unasikia usingizi. Wao ndio wenye mwili wao. Wanaupa kazi na wanaulisha.
Sasa usaili ni kama shopping ya jeshi katika kutafuta vijana wao. Kwa hiyo mwisho wa siku wao ndio wataangalia kama
hilo kovu lina impact gani kwa mtu kuwa mwanajeshi, mfano kama una kovu la risasi au panga inakuwa ni mjadala
mzito.
ok shukran mkuu