Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,135
- 2,471
honger kwa wote walioitw na wakaoitw baad ya baadh kushndw. Kabla ya kusailiwa ni vema ukajisaili mwenyew ktk mamb yafuataya..
1.kuangalia kam mguu wako una UVUNGU nyayon.
2.kupima kipim kikuu, yaan H.I.V,TB,BP,KISUKAR,PUMU,FIGO nk. Kam una ugonjw wowot ni hatar kwa maish yak ucdanganye.
3.Kuhakikisha kam una nguv za kiume za kutosha. Rahisi tu, we vua nguo inama(bong'oa) alaf kohoa, inatakiw ukikohoa MZIGO USHTUKE.
4.Matege, matege ya kupind kwa nje na ukitembea magot yanakaribia kukutan, hayatakiw 7bu ni hatar kwa usalam wako.
5.kujua nchi znazopakan na tz kwa DIRA.
6.kujiamini unapojib maswal.
7.kumtizam uson anayekusail,husipepese macho watokuon unatoa taarif za uongo.
8. Kukata kucha,Kunyoa ndev,nyewe sehem za siri na kichwan.
9. Utulivu, epuka kuweka mikon mifukon na kutingisha miguu wakat wa mahojiano.
10.TAMBUA WIMBO WA TAIFA KWA UFASAHA.
Tafadhar zingatie mlioitwa jambo dogo linawez kukunyima kazi, kala her .Ahsanten sana
daaahhh nomaaa