Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,366
- 2,151
Mkuu kayoka naomba unitazimie kina 1. NSAJO HAMIS MOURICE, pamoja na rashid mwika..
uliomba nafasi gani?
Mkuu kayoka naomba unitazimie kina 1. NSAJO HAMIS MOURICE, pamoja na rashid mwika..
Ukoplo mkuu
jina hili HALIPO!
nafasi gani ndugu yangu?
Hapa kuna nafasi za KONSTEBO & KOPLO wa UHAMIAJI TU.
last man down
na hayo ya stephan kombo na sophia wanyancha mkuu?konstebo.
wakaguzi majina yametoka
kaka naomba nichekie jina la mzee sudi nafasi ya constebo.Niko na kagazeti hapa naangalia angalia.
Mie kwa kweli simu ila nimeshangaa na kumpa hongera kuna mdada tulikuwa naye chuo yeye akichukua shahada ya elimu mie social science kaitwa nafasi ya koplo wa uhamiaji halafu tena kapata nafasi ya ualimu yupo huko TUKUYU anafundisha.
Ama kweli kila mtu na bahati yake jamani.
unatueleza au unatuuliza?someka mtendaji
watu mnavyopeana makavu hata si umdanganye kidogo angalau afurai kwa muda
wametia aibu!
ni kweli piakweli wametia aibu , haiwezekani wizara moja haina database kwa sababu eti mtu kaitwa zimamoto kama na wakati huohuo kaitwa uhamiaji kama konstable. je muda woote waliokuwa wanapoteza walishindwa kuchambua?
ni hayo tu