Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Hatimae zile hotel zilizoipasua kichwa serikali za EMBASSY na AGIP hotel sasa zimeuzwa rasmi
Habari za kutoka kwenye chanzo zinasema zote zimeuzwa kwa mtu mmoja
na ujenzi wa ukarabati umeanza na muda si mrefu zitanza kazi...............
Killa la kheri EMBASSY HOTEL maana mpaka sasa jumba lile kupitia ngono mbofu usiku limeshazalisha
zaiidi ya watoto 20
Habari za kutoka kwenye chanzo zinasema zote zimeuzwa kwa mtu mmoja
na ujenzi wa ukarabati umeanza na muda si mrefu zitanza kazi...............
Killa la kheri EMBASSY HOTEL maana mpaka sasa jumba lile kupitia ngono mbofu usiku limeshazalisha
zaiidi ya watoto 20