Hati ya mashitaka ya Mhe. Lema baada ya mengine kutupiliwa.

Hati ya mashitaka ya Mhe. Lema baada ya mengine kutupiliwa.

Wajameni ninaamini hapa JF ni kiboko yao! Tunaomba CV ya Molongo tafadhali ili tuifanyie kazi!
 
Wanasheria Katika jina la kisheria hilo kosa linawait kiasi gani?
 
Hili ndiyo shitaka analoshitakiwa nalo mbunge wa Arusha mjini Mhe Godbless Lema
Acheni utani, hapo uchochezi unakuja je? Ina maana tunapokwenda kwenye send-off tunakuwa wachochezi, au pale tunaposhindwa kuwapa pole waliopatwa na misiba tunakuwa tumechochea vurugu? Watayahusianisha vipi haya na uchochezi? Hii kama kupotezeana muda na kuharibu mwenendo wa mshitaka muhimu mahakani.

Kimsingi, Mulongo alitaka kumuonyesha Lema kuwa yeye ni serikali na anaweza kumuweka ndani. Hicho ndicho pekee alichofanikiwa, ila gharama yake ni kubwa sana. Kwa vyovyote, lazima sasa Mulongo ahame Arusha, kwani pengo kati yake na wananchi anaowaongoza linazidi kuwa pana kiasi ambacho hatamudu tena majukumu yake.
 
Kikwete aliwahi kusema ukweli. Tanzania hatuna wanasheria, kama kweli walikubali kupeleka shitaka hili mahakamani.
 
Crash nimecheka mpaka mbavu zinaniuma, kweli Polisi wameamua kumuadhiri Mulongo hakuna namna kumuambia wewe ni mjinga kamanda wa mkoa haiwezekani mashitaka yawe hivyo haiwezekani

Baada ya kutusua bomu la udini??
not only kutusua bomu la uduni ila ni kumuongezea umaarufu na kumfanya awe habari ya mjin for 3 dyz, makada wa chama cha majambaz jitambueni bana
 
Acheni kudanganya umma nyie kwa kuchukua kamstari kamoja na kukafanya mtaji. Tatizo hapa si neno kwa mkuu wa mkoa bali kuwapandisha hasira wanafunzi na yaliyofuata yanaeleweka. Kiutaratibu Lema hakufuata utaratibu pale chuoni hata muweke uchama mbele bado ana kosa tuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! cha msingi ni lile nililosema mwababe hawa wote hawatakiwi wake pembeni waje wengine maana hatuoni kinachoendelea Arusha zaidi ya mikwaruzano ya hapa na pale na bila sababu za msingi. Huyu bwana anahangaika na kesi hapa na pale muda wa kazi unakuwa wapi? Kwenye msiba unataka aende amevaa gauni ndiyo uone ana majonzi au, eti mbona lema aliongea bila kipaza sauti? mtu anauliza swali hilo huku akimtusi Mulongo kuwa hafikirii bila kujiuliza kama yeye anafikiria kama kila mtu anasauti yake na uwezo wake wa kupaza sauti kama kila mmoja anaweza kuongea kwa sauti kwanini hivyo vipasa sauti viliwekwa? Eti alionesha uso wa nyodo, hahahaha unajua kama humpendi mtu hata akikusalimia utasema mnafiki huyu.

Jamani Tanzania kwanza haya mavyama ya siasa hayana maana yoyote.
 
Yana haya ndio mashtaka yaliyosababisha mtu kuwindwa kwa nguvu kama iliyotumika kumuua Osama?

Na hii ndio hati ya mashtaka...na state attorney anamwaga ino wake hapo? Dah!
 
Acheni kudanganya umma nyie kwa kuchukua kamstari kamoja na kukafanya mtaji. Tatizo hapa si neno kwa mkuu wa mkoa bali kuwapandisha hasira wanafunzi na yaliyofuata yanaeleweka. Kiutaratibu Lema hakufuata utaratibu pale chuoni hata muweke uchama mbele bado ana kosa tuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! cha msingi ni lile nililosema mwababe hawa wote hawatakiwi wake pembeni waje wengine maana hatuoni kinachoendelea Arusha zaidi ya mikwaruzano ya hapa na pale na bila sababu za msingi. Huyu bwana anahangaika na kesi hapa na pale muda wa kazi unakuwa wapi? Kwenye msiba unataka aende amevaa gauni ndiyo uone ana majonzi au, eti mbona lema aliongea bila kipaza sauti? mtu anauliza swali hilo huku akimtusi Mulongo kuwa hafikirii bila kujiuliza kama yeye anafikiria kama kila mtu anasauti yake na uwezo wake wa kupaza sauti kama kila mmoja anaweza kuongea kwa sauti kwanini hivyo vipasa sauti viliwekwa? Eti alionesha uso wa nyodo, hahahaha unajua kama humpendi mtu hata akikusalimia utasema mnafiki huyu.

Jamani Tanzania kwanza haya mavyama ya siasa hayana maana yoyote.

...kichaa huwaona watu wenye akili ndiyo vichaa kwani anawashangaa kwa nini hawaokoti makopo wakati yametupwa!?...endelea kushangaa...
 
watu ni wajinga kweli, mnaacha kazi zenu mnaenda kurundikana kwa ajili ya mfanya fujo
 
Kweli kwa shitaka hilo CCM inajidhalilisha, Mbunge anakaa maabusu kwa kituko hicho kweli Tanzania ipo chini ya ukoloni bado. Nimefurahia mwamko wa kisiasa Arusha uko poa kweli.
 
Sasa kusema *Fu.....k you* ndani ya jumba tukufu la kutunga sheria za nchi (bunge) na kusema mkuu wa mkoa anakuja kwa kuchelewa Kama anakwenda kwenye send off mbele ya wanachuo lipi ni kosa la mtu kufunguliwa mashtaka na if possible kuwekwa ndani? This is ridiculous!
 
Du!huyu mkuu wa mkoa ameidhalilisha serikali na chama cha mapinduzi (CCM)
 
Back
Top Bottom