kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,075
- 1,549
Ni aibu kubwa kwa magamba...Kwa hiyo kuvamiwa nyumbani kwake usiku wa manane na zaidi wa maaskari 25 ambao walipanda ukuta na kuingia ndani wakiwa na mabomu ya machozi na silaha nzito.. ilikuwa kwa ajili ya kosa hili ambalo lipo kwenye sheet hii..? WABHEJASANA umeona hii lakini..? Maana wewe ulifungua uzi wa kumsema Lema ati anatafuta umaarufu wa kisiasa.. Hapo kweli Lema ndo anaetafuta au mnamlazimishia wenyewe..????
Sitanii ndiyo ukweli wenyewe, ndiyo maana leo watu wa Arusha walikuwa tayari kwa lolote maana serikali wanafanya uhuni wa hali ya juu, huwezi amini makosa ndiyo hayo mpaka polisi wakaenda kuruka ukuta na mbwa zaidi ya 20, magari ya polisi 5, pikipiki....
hili bango kwangu lilikuwa na maana kubwa sanaKama haya maneno ni kosa la jinai basi ina maana Mwigulu, Lusinde au hata Nape wangekuwa jela miaka mingi sana !!
Kwa hiyo kuvamiwa nyumbani kwake usiku wa manane na zaidi wa maaskari 25 ambao walipanda ukuta na kuingia ndani wakiwa na mabomu ya machozi na silaha nzito.. ilikuwa kwa ajili ya kosa hili ambalo lipo kwenye sheet hii..? WABHEJASANA umeona hii lakini..? Maana wewe ulifungua uzi wa kumsema Lema ati anatafuta umaarufu wa kisiasa.. Hapo kweli Lema ndo anaetafuta au mnamlazimishia wenyewe..????
Umeingia hapa kama unakuja kwenye SENDOFF!Godbless Lema is a problem...
Mungu anawaumbua..na bado watakuja kuumbuka haswa!!haya bana another season!