Hati ya mashitaka ya Mhe. Lema baada ya mengine kutupiliwa.

Hati ya mashitaka ya Mhe. Lema baada ya mengine kutupiliwa.

Yaani mpaka kwenda kuruka ukuta, kwa lipi????😛ray2:
 
View attachment 91934
Hili ndiyo shitaka analoshitakiwa nalo mbunge wa Arusha mjini Mhe Godbless Lema


huyo state attorney aliye saini hiyo hati ya mashitaka atakuwa mhitimu wa UDOM au OUT, au chuo kingine cha voda fasta, kichwa cha UDSM hakiwezi kudhalilisha taaluma kwa kuweka signature kwenye huu uchafu.

Let me rap a bit, Its 187 how Lema is killing these hoes.
 
watu ni wajinga kweli, mnaacha kazi zenu mnaenda kurundikana kwa ajili ya mfanya fujo

Mkuu leo nilikua huku lakini hakuna kipindi ambacho lema kaaibika kama hiki, mahakamani kweupee, maandamano hakuna, wala wengine hawajui kinachoendelea, aibu, lakini hapa JF, maneno mengiii, aibu kwa Lema kashachokwa mkuu, JF ARUSHA aibu kwa uongo
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha nakushauri sikiliza ushauri wa watu ongeza wana Arusha watakusaidia na Siyo kuonesha kuforce wanasheria kuharibu vichwa vyao kwa mambo kama haya. kweli kabisa mimi hata ningekuwa mwenyekiti wa kijiji ni aibu kuwa na kesi kama hii mahakamni tena kwa kutumia wanasheria wasomi wa serikali hii ni aibu
 
S. 35 penal code

When in this Code no punishment is specially provided for General

any misdemeanor, it shall be punishable with imprisonment for a
term not exceeding two years or with a fine or with both

390. Any person who solicits or incites another to commit an offence
is guilty of a misdemeanour notwithstanding that the solicitation or
incitement has no effect.

Linaundiwa zengwe 2015, akikutwa na hatia hawezi kugombea


Mkuu moja kati ya hizi ndiyo iko hai!

Ukiangalia vizuri kuna tofauti kidogo wa maneno.


General
punishment for
offences where
penalty not
prescribed
35. When in this Code no punishment is expressly provided for
any offence, it shall be punishable with imprisonment for a term not
exceeding two years or with a fine or with both.


CHAPTER XLVI

SOLICITATION AND INCITEMENT
Soliciting or
inciting the
commission of
an offence Ord.
No. 47 of 1954 s.
2
390. Any person who solicits or incites another to commit an
offence, commits an offence notwithstanding that the solicitation or
incitement has no effect.
 
hapo sasa kweli ccm inavuliwa nguo kama nini mwaka huu tutaona mengi sana
 
Katika mikoa ambayo nimetokea kudharau wakazi wake wa kwanza ni huo ARUSHA.

Wakazi wa Arusha hasa vijana ni watukutu wa kutupwa, na kikubwa ni matumizi ya MIHADARATI yaliyo kithiri.

Hamuwezi kuandaa mabango yenye maandishi ya kipuuzi na kiwehu kama hayo.

Walishindwa kuandaa mabango yenye maneno ya kistaarabu kama vile;

"Mahakama ni mahali pa kutoa haki, Lema atapata haki yake hapo."

"Tunaomba mbunge wetu Lema atendewe haki na mahakama."

Haya yote ni baadhi tu ya "slogan" za kistaarabu ambazo zingepaswa kutumika.
 
Katika mikoa ambayo nimetokea kudharau wakazi wake wa kwanza ni huo ARUSHA.

Wakazi wa Arusha hasa vijana ni watukutu wa kutupwa, na kikubwa ni matumizi ya MIHADARATI yaliyo kithiri.

Hamuwezi kuandaa mabango yenye maandishi ya kipuuzi na kiwehu kama hayo.

Walishindwa kuandaa mabango yenye maneno ya kistaarabu kama vile;

"Mahakama ni mahali pa kutoa haki, Lema atapata haki yake hapo."

"Tunaomba mbunge wetu Lema atendewe haki na mahakama."

Haya yote ni baadhi tu ya "slogan" za kistaarabu ambazo zingepaswa kutumika.

Sasa wewe usiyetumia mihadarati, kwa nini hukuandaa hayo mabango yenye "slogan" za kistaarabu? Ni nani alikukataza?
 
Ndiyo maana Bashe kawashtukia ma ccm wenzake akiwemo Mulongo kuwa amebugi,msigwa aliwaambia ukweli mkakasirika,akili ndogo kutawala akili kubwa.Hivi kunajimbo lolote ambalo Mulongo anaweza akaenda kugombea na Lema akapata hata asilimia kumi za kura atakazopata lema,ndiyo sababu ya hasira ya kuletewa majuha na Kikwete yatawale.Naweza nikakuabaliana na bango moja pale linalosema alikuwa mfanyakazi wa nyumbani kwa Kikwete kwa hiyo ni fadhila:confused3:
 
Katika mikoa ambayo nimetokea kudharau wakazi wake wa kwanza ni huo ARUSHA.

Wakazi wa Arusha hasa vijana ni watukutu wa kutupwa, na kikubwa ni matumizi ya MIHADARATI yaliyo kithiri.

Hamuwezi kuandaa mabango yenye maandishi ya kipuuzi na kiwehu kama hayo.


MBWAI INAZAA MBWAI!! Kwani usilidharau kwanza jeshi la polisi na serikali kwa kujidhalilisha kiasi hicho!! IGP MWEMA anajisifiaga eti ni mtu wa intelijinsia lakini hapa wameprove ni jinsi gani walivyo wachovu!! Wanaenda kum-ambush mbunge usiku wa manane kwa makosa yasiyoeleweka hata wanakijiji huku SANGAMWARUGESHA wanalishangaa jeshi la polisi kwa UPUMBAVU wake!! Halafu we unakuja utumbo wako eti wangekwenda na mabango yenye SLOGAN za kistaarabu!! I think you're not well in your head! Beba wewe hayo mabango yenye slogan nzuri!!
 
Ha ha ha ha. Nilipenda Bango la House grl/boy wa JKT
 
Ha ha ha ha. Nilipenda Bango la House grl/boy wa JKT
 
Hii charge sheet ilipaswa kukataliwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama wakati anakabidhiwa file
angekuwa hakimu mkazi makini wala asingeingiza ktk rekodi za mahakama wala kulipa file No.
ni ujinga mtu,hati ya mashtaka iko defective wala haina ahadhi ya kuitwa charge sheet.
hata alieiandaa nina mshaka kama alifaulu vema Criminal Procedure akisoma sheria.
particulars za offence ni kituko kwa kweli wala hakuna atakaeweza kuthibitisha pas na shaka
Hii charge sheet itakuwa dismissed muda sio mrefu.
 
Mkuu leo nilikua huku lakini hakuna kipindi ambacho lema kaaibika kama hiki, mahakamani kweupee, maandamano hakuna, wala wengine hawajui kinachoendelea, aibu, lakini hapa JF, maneno mengiii, aibu kwa Lema kashachokwa mkuu, JF ARUSHA aibu kwa uongo

Weee! Nyie mnaotumiwa mmeangalia ITV ? Tukisema maisha magumu mnajifanya hamjui sasa mnaona mnaingiza siku kwa ku comment tope kama hizi. Shame on you Gambazi
 
Hii charge sheet ilipaswa kukataliwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama wakati anakabidhiwa file
angekuwa hakimu mkazi makini wala asingeingiza ktk rekodi za mahakama wala kulipa file No.
ni ujinga mtu,hati ya mashtaka iko defective wala haina ahadhi ya kuitwa charge sheet.
hata alieiandaa nina mshaka kama alifaulu vema Criminal Procedure akisoma sheria.
particulars za offence ni kituko kwa kweli wala hakuna atakaeweza kuthibitisha pas na shaka
Hii charge sheet itakuwa dismissed muda sio mrefu.

Mkuu Lokissa.. Shaka yangu mie ni waandaji wa hati hizo wamelazimishwa kinyume na utashi wao.. Siamini ujinga huu kupita mpaka kwa hakimu na mapungufu haya..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom