Halafu wanasema ni shitaka la jamhuri dhidi ya Lema? Jamhuri gani hiyo yenye kushitaki watu kwa makosa mepesi kiasi hicho? Kwa kweli ifikie wakati tuanze kuona aibu kwa mambo haya. Yaani kumwambia mtu umekuja kama unaenda kwenye 'send-off' ni uchochezi?
Baada ya kutusua bomu la udini??Godbless Lema is a problem...
Sitanii ndiyo ukweli wenyewe, ndiyo maana leo watu wa Arusha walikuwa tayari kwa lolote maana serikali wanafanya uhuni wa hali ya juu, huwezi amini makosa ndiyo hayo mpaka polisi wakaenda kuruka ukuta na mbwa zaidi ya 20, magari ya polisi 5, pikipiki....You must be joking... hivi haya nayo alishitakiwa nayo?
Hiyo ni hati ya mashtaka au ni maneno ya kijembe vijiweni? Kweli kanda ya Arusha DPP mmeandaa haya mashtaka au ni kuchekesha watanzania wakubwa zangu? Why wasting taxpayers money? Nimeshangaa sana. Yaani kesi ya ajabu sana hii. Mbona maneno ya kawaida hayo? Yale maneno aliyosema mkuu wa mkoa ndiyo yaliyoamsha hasira za wanafunzi na si ya Lema.
ZeMarcopolo is more of a problem than the problem itself..Godbless Lema is a problem...
Kama haya maneno ni kosa la jinai basi ina maana Mwigulu, Lusinde au hata Nape wangekuwa jela miaka mingi sana !!
Godbless Lema is a problem...