View attachment 91934
Hili ndiyo shitaka analoshitakiwa nalo mbunge wa Arusha mjini Mhe Godbless Lema
Naona unajifariji,vp umeangalia taarifa ya habari ITV hahahaaaaaa ccm Arusha hamna chenuMkuu leo nilikua huku lakini hakuna kipindi ambacho lema kaaibika kama hiki, mahakamani kweupee, maandamano hakuna, wala wengine hawajui kinachoendelea, aibu, lakini hapa JF, maneno mengiii, aibu kwa Lema kashachokwa mkuu, JF ARUSHA aibu kwa uongo
Hiyo ni hati ya mashtaka au ni maneno ya kijembe vijiweni? Kweli kanda ya Arusha DPP mmeandaa haya mashtaka au ni kuchekesha watanzania wakubwa zangu? Why wasting taxpayers money? Nimeshangaa sana. Yaani kesi ya ajabu sana hii. Mbona maneno ya kawaida hayo? Yale maneno aliyosema mkuu wa mkoa ndiyo yaliyoamsha hasira za wanafunzi na si ya Lema.
Mkuu leo nilikua huku lakini hakuna kipindi ambacho lema kaaibika kama hiki, mahakamani kweupee, maandamano hakuna, wala wengine hawajui kinachoendelea, aibu, lakini hapa JF, maneno mengiii, aibu kwa Lema kashachokwa mkuu, JF ARUSHA aibu kwa uongo
We sir Elton John unatafuta bwana.,Hiyo miadarat ulileta wewe tumbafKatika mikoa ambayo nimetokea kudharau wakazi wake wa kwanza ni huo ARUSHA.
Wakazi wa Arusha hasa vijana ni watukutu wa kutupwa, na kikubwa ni matumizi ya MIHADARATI yaliyo kithiri.
Hamuwezi kuandaa mabango yenye maandishi ya kipuuzi na kiwehu kama hayo.
Walishindwa kuandaa mabango yenye maneno ya kistaarabu kama vile;
"Mahakama ni mahali pa kutoa haki, Lema atapata haki yake hapo."
"Tunaomba mbunge wetu Lema atendewe haki na mahakama."
Haya yote ni baadhi tu ya "slogan" za kistaarabu ambazo zingepaswa kutumika.
Acheni kudanganya umma nyie kwa kuchukua kamstari kamoja na kukafanya mtaji. Tatizo hapa si neno kwa mkuu wa mkoa bali kuwapandisha hasira wanafunzi na yaliyofuata yanaeleweka. Kiutaratibu Lema hakufuata utaratibu pale chuoni hata muweke uchama mbele bado ana kosa tuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! cha msingi ni lile nililosema mwababe hawa wote hawatakiwi wake pembeni waje wengine maana hatuoni kinachoendelea Arusha zaidi ya mikwaruzano ya hapa na pale na bila sababu za msingi. Huyu bwana anahangaika na kesi hapa na pale muda wa kazi unakuwa wapi? Kwenye msiba unataka aende amevaa gauni ndiyo uone ana majonzi au, eti mbona lema aliongea bila kipaza sauti? mtu anauliza swali hilo huku akimtusi Mulongo kuwa hafikirii bila kujiuliza kama yeye anafikiria kama kila mtu anasauti yake na uwezo wake wa kupaza sauti kama kila mmoja anaweza kuongea kwa sauti kwanini hivyo vipasa sauti viliwekwa? Eti alionesha uso wa nyodo, hahahaha unajua kama humpendi mtu hata akikusalimia utasema mnafiki huyu.
Jamani Tanzania kwanza haya mavyama ya siasa hayana maana yoyote.