Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,707
- 6,658
Hahahaha mtu anakubania miprotini imekuja mpaka kichwani hadi ubongo umefeli. Ni sawa tu tukionekana hatujielewi.
Deo Kisandu alitaka serikali iingilie kati imsaidie kut0mba
Hahahaha mtu anakubania miprotini imekuja mpaka kichwani hadi ubongo umefeli. Ni sawa tu tukionekana hatujielewi.
Deo Kisandu alitaka serikali iingilie kati imsaidie kut0mba
nimeipenda hii mabaharia hakuna kufichana tunaambiana situation ilivyo hahahahaaaaaaaaSiyo utoto.
Mleta uzi. Kama huyo binti anaitwa Ramona jua katufanya majuha wote, mi akaniambia baada ya ramadan tutashonana.
Akatoweka.
Juzi kanicheki nikamwambia ashike ustaarab wake
Mara nyingi mwanaume asio na mvuto kwa mwanamke husika ndio hufanyiwa hivi. Mfano kwa mwanamke anayependa watu wenye hela ukimfata kapuku ataishia kukuzungusha na kukukwepa ilimradi tu ukate tamaa umuache, ila mwenye kumwaga hela anapapatikiwa mda wote demu anajibebisha tu na kutoa mzigo uliwe bila masharti wala usumbufu.Binti kukunyima mechi si kigezo cha kuwa ni mpole na siyo mhuni, wanawake anaweza kuwa na wanaume 2 mpaka zaidi , Mmoja anaweza kuwa anapewa show ya kibabe hlf, wewe unaambiwa hakuna mpaka ndoa kumbe hakuna chochote.
Sio utoto mkuu naamini kwa nguvu ya mapenzi nawewe yanauwezo wa kukupelekesha kama gari iliyokata breki, unachezezea mapenzi wewe eti!!?
Kumbe unajua kama ndoa ina mambo mengi na huwezi kuingia kabla ya kujipanga.Bado sijajipanga mkuu, si unajua ndoa ina mambo mengi?
Halafu anaambiwa alipie kiingilioMovie wanacheza wengine
Jr
Kwanini yeye apokee vyangu ilihali hataki kugegedwa?Kumbe unajua kama ndoa ina mambo mengi na huwezi kuingia kabla ya kujipanga.
Sasa kwanini utake tendo la ndoa Kabla ya ndoa na wakati bado haupo tayari kwako ndoa?
Mara nyingi mwanaume asio na mvuto kwa mwanamke husika ndio hufanyiwa hivi. Mfano kwa mwanamke anayependa watu wenye hela ukimfata kapuku ataishia kukuzungusha na kukukwepa ilimradi tu ukate tamaa umuache, ila mwenye kumwaga hela anapapatikiwa mda wote demu anajibebisha tu na kutoa mzigo uliwe bila masharti wala usumbufu.
Mwanamke anayependa mwanaume mmbabe babe hivi atakuwa analiwa na wahuni na washkaji wajanja kirahisi sana ila mwanaume decent na mpole ataishia kunyonywa tu na kupukutishwa hela na kuishia kupewa mabusu ya gradueshen tu shavuni ila papuchi ataisikia tu kwenye vyombo vya habari.
Mimi naanza na kutamani then ndo napenda na ni muumini mzuri wa early sex..so kwa upande wangu kukaa na msichana niliyemwambia "nakupenda" na akanikubalia kwa mwezi bila kufanya nae bila sababu ya maana naona haiingii akini..