Hataki kunipa 'Mzigo' nataka nimuache

Binti kukunyima mechi si kigezo cha kuwa ni mpole na siyo mhuni, wanawake anaweza kuwa na wanaume 2 mpaka zaidi , Mmoja anaweza kuwa anapewa show ya kibabe hlf, wewe unaambiwa hakuna mpaka ndoa kumbe hakuna chochote.
Mara nyingi mwanaume asio na mvuto kwa mwanamke husika ndio hufanyiwa hivi. Mfano kwa mwanamke anayependa watu wenye hela ukimfata kapuku ataishia kukuzungusha na kukukwepa ilimradi tu ukate tamaa umuache, ila mwenye kumwaga hela anapapatikiwa mda wote demu anajibebisha tu na kutoa mzigo uliwe bila masharti wala usumbufu.

Mwanamke anayependa mwanaume mmbabe babe hivi atakuwa analiwa na wahuni na washkaji wajanja kirahisi sana ila mwanaume decent na mpole ataishia kunyonywa tu na kupukutishwa hela na kuishia kupewa mabusu ya gradueshen tu shavuni ila papuchi ataisikia tu kwenye vyombo vya habari.
 
Bado sijajipanga mkuu, si unajua ndoa ina mambo mengi?
Kumbe unajua kama ndoa ina mambo mengi na huwezi kuingia kabla ya kujipanga.
Sasa kwanini utake tendo la ndoa Kabla ya ndoa na wakati bado haupo tayari kwako ndoa?
 
Kumbe unajua kama ndoa ina mambo mengi na huwezi kuingia kabla ya kujipanga.
Sasa kwanini utake tendo la ndoa Kabla ya ndoa na wakati bado haupo tayari kwako ndoa?
Kwanini yeye apokee vyangu ilihali hataki kugegedwa?
Wewe unaweza kuvumilia???.
 
Mkuu nilikua decent boy ever mpole,, Duh niliambulia patupu ( lover boy )

Ukijua ku unlock pattern za wanawake hawa viumbe hawakuumizi kichwa kabisa kuwa mbabe but gentle,, kuwa unpredictable!!
Mara nyingi mwanaume asio na mvuto kwa mwanamke husika ndio hufanyiwa hivi. Mfano kwa mwanamke anayependa watu wenye hela ukimfata kapuku ataishia kukuzungusha na kukukwepa ilimradi tu ukate tamaa umuache, ila mwenye kumwaga hela anapapatikiwa mda wote demu anajibebisha tu na kutoa mzigo uliwe bila masharti wala usumbufu.

Mwanamke anayependa mwanaume mmbabe babe hivi atakuwa analiwa na wahuni na washkaji wajanja kirahisi sana ila mwanaume decent na mpole ataishia kunyonywa tu na kupukutishwa hela na kuishia kupewa mabusu ya gradueshen tu shavuni ila papuchi ataisikia tu kwenye vyombo vya habari.
 
Ndiyo huyu?
2408160_Screenshot_20200522-204044.jpg
 
Mimi naanza na kutamani then ndo napenda na ni muumini mzuri wa early sex..so kwa upande wangu kukaa na msichana niliyemwambia "nakupenda" na akanikubalia kwa mwezi bila kufanya nae bila sababu ya maana naona haiingii akini..


Kwa maamzi yako utamfanya nini mtu kama huyo???.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom