Huo ujinga Mimi hauwezi kunikutaSio utoto mkuu naamini kwa nguvu ya mapenzi nawewe yanauwezo wa kukupelekesha kama gari iliyokata breki, unachezezea mapenzi wewe eti!!?
Hahaa mpige chini tu ..... Je huwa anatumia alcohol ?Hakika mkuu nimekubali, ushauri wako sasa unahitajika mkuu maana sisi bado hatujabobea sana kwenye haya maswala.
Mhhh kweli?
Siamini.
Kijana acha swaga mapenzi ni kitu kingine wewe, na ndo kitu kinachowasumbua watu duniani na vifo kwa wingi kisa mapenzi.Cheka tu mkuu ... Huku ndio kupatwa kwa jf .. Tunaomba mungu shule zifunguliwe wadogo zetu warejee masomoni kwa kiasi kikubwa itachangia kupotea kwa nyuzi za aina hii
@bin shalb ... Fuata huu ushauriNa wewe hela zako kutumia mwambie adi ndoa
SUBIRI KIDOGO
😂😂Cheka tu mkuu ... Huku ndio kupatwa kwa jf .. Tunaomba mungu shule zifunguliwe wadogo zetu warejee masomoni kwa kiasi kikubwa itachangia kupotea kwa nyuzi za aina hii