Hataki kuchukua mahari yake nifanyeje??

Hataki kuchukua mahari yake nifanyeje??

Status
Not open for further replies.
Mkuu nimejaribu sana kusuluhisha lakini baba mtoto hajakubali kabisa mpaka nikamuuliza kosa langu ni kurudi nyumbani au kuna lingine nijue hana jibu. Unajua wakati mwingine huwezi jua Mungu anatuepushia nini katika maisha yetu
Kweli mdada tulia kama hataki fanya yako kama sio riziki hakuna cha ziada
 
Nimeshapitia nyuzi nyingi hapa nimegundua anachouliza mhusika na coment zinakuja tofauti sababu watuhawataki kusoma wakaelewa. Unakuta mtu anaanza kutukana ukijiuliza hakuna hata sababu
Na watukanaji wengi mahusiano yao yana stress za kufa mtu , wewe ongea na wazazi basi
 
Wewe ni mkorofi... ungeweka wazi sababu za kutengana ungepata ushauri sahihi? Inaelekea una mwanaume mwingine anakupa kiburi...
 
Tafuta mwanasheria akupe muongozo. Asije akadai bado ni mchumba wako huko mbeleni
 
Na watukanaji wengi mahusiano yao yana stress za kufa mtu , wewe ongea na wazazi basi
Acha kumshauri pumba mwezako..miezi miwili Tu Anataka kurudisha Mahari.Yeye Tayari Ni Mkee wa mtu na Mzazi Mwezie Ni kwamba anajitafakari Tu Uko halipo..atarudi Kwa Kasi Ya ajabu sana Baada Ya Muda.Pia kwa Haraka haraka Umri Wa Mtoa Mada waweza Kuwa Tatizo..kwa Makisio Yangu..Mtoa Mada Atakuwa Ajafikisha 23 ama 24 hapo.Wanawake ambao Awajafikia age Hii pia..Ujiona bado ni watoto ata Kama kaisha kuwa mzazi Kama mtoa Mada Hapa
 
Matatizo ya watanzania hawasomi wakaelewa kabisa. Wapi nimesema nimeingia au ninaingia kwenye mahusiano mapya?? swali lilikuwa je kubaki na mahari yake haina shida kama kutakuwa na mtu atataka kutoa mahari kwa baadae? Sikuchepuka wala sina hiyo tabia aliniacha kwa sababu hakutaka nirudi kwetu baada ya kujifungua.
Mtu yoyote akisoma hii habari yako ni kama imeanzia kati, mlifikia hatua ya kuishi na kuzaa pamoja na ww ni mke wake maana mahari tayari, ila hujasema ni sababu ipi imekurudisha kwenu.

Hii sababu ukiiweka wazi itakuwa rahisi kujua ni kwa nn hataki kuchukua mahari yake.
 
Acha kumshauri pumba mwezako..miezi miwili Tu Anataka kurudisha Mahari.Yeye Tayari Ni Mkee wa mtu na Mzazi Mwezie Ni kwamba anajitafakari Tu Uko halipo..atarudi Kwa Kasi Ya ajabu sana Baada Ya Muda.Pia kwa Haraka haraka Umri Wa Mtoa Mada waweza Kuwa Tatizo..kwa Makisio Yangu..Mtoa Mada Atakuwa Ajafikisha 23 ama 24 hapo.Wanawake ambao Awajafikia age Hii pia..Ujiona bado ni watoto ata Kama kaisha kuwa mzazi Kama mtoa Mada Hapa
Tumia basi akili sio kukurupuka kama mkojo wa asubuhi umesoma comments mbili tu unaleta utumbo hapa vyote alishaeleza huko usiniletee stress zako nyie ndiyo mnakuwa wanyanyasaji wa wanawake kisa umezaa naye
 
Mbona Una Panic Single Mother..Hapa Tuna Muelewesha Kijana Wetu yasije Kumpata Yaliyo Kupata Wewe
Tumia basi akili sio kukurupuka kama mkojo wa asubuhi umesoma comments mbili tu unaleta utumbo hapa vyote alishaeleza huko usiniletee stress zako nyie ndiyo mnakuwa wanyanyasaji wa wanawake kisa umezaa naye
 
Wewe ni mkorofi... ungeweka wazi sababu za kutengana ungepata ushauri sahihi? Inaelekea una mwanaume mwingine anakupa kiburi...
Sababu za kutengana niliwahi kuweka uzi hapa...ni kwamba alitoa mahari wakati nina ujauzito wakasema inabidi nikajifungue chini ya mama mkwe. Baada ya kujifungua mtoto akafika miezi 4 ikabidi nirudi nyumbani mwanzoni alinikubalia nikakata hadi tiketi kabisa. Mama yake akamkatalia nisiondoke ndio akaniambia nikiondoka kwenda kwetu niondoke moja kwa moja. hiyo ndio sababu ya kutengana nilirudi nyumbani
 
Tafuta mwanasheria akupe muongozo. Asije akadai bado ni mchumba wako huko mbeleni
na ndilo nililokua nahitaji kujua nashangaa watu wananitukana na kunisema nataka uhisiano mara nini....asante kwa ushauri.
 
Mkuu kuna watu wana stress zao wakiona mada za watu ndio wanatolea stress zao. Mwanaume akikuzalisha anataka uwe mtumwa wake na wengine wanaenda mbali eti hakupi hela ya kumtunza mtoto hadi ulale na wewe. Hawajui tuu thamani ya mwanamke aliyekuzalia mtoto
Tumia basi akili sio kukurupuka kama mkojo wa asubuhi umesoma comments mbili tu unaleta utumbo hapa vyote alishaeleza huko usiniletee stress zako nyie ndiyo mnakuwa wanyanyasaji wa wanawake kisa umezaa naye
 
Du! , Kwa elezea sababu ya kutengana , je! Niwewe umejitoa kwake au ni yeye amekutaliki?

Na kwanini unaharaka ya kuanzisha mahusiano mapya ili hali hujatengeneza vizuri uliko toka? Ita Ku" cost in Head!" .

Tambua kuwa utamtesa mtoto kumlea na baba wa kambo ni shida kubwa sana hata kama uliye mpata ame kupa ahadi nono! .
 
Sababu ni ile ile ya kurudi nyumbani. Asante sana nimeshapoa na tumekubaliana tutalea tuu mtoto pamoja. Najua hatutaweza kuwa pamoja tena sababu yeye anasema siku niliyoondoka ndio nae alivunja mahusiano moja kwa moja .
Pengine ilikuwa ni hasila
 
Sasa alikuwa na hasira ya nini mkuu wakati sikuwa na kosa lolote na je hasira hizo bado zipo kwa miezi 3 yote? Yeye hajafikiria kuhusu mtoto wake kulelewa na mzazi mmoja sababu ya ubinafsi wake.
Pengine ilikuwa ni hasila
 
Mkuu kuna watu wana stress zao wakiona mada za watu ndio wanatolea stress zao. Mwanaume akikuzalisha anataka uwe mtumwa wake na wengine wanaenda mbali eti hakupi hela ya kumtunza mtoto hadi ulale na wewe. Hawajui tuu thamani ya mwanamke aliyekuzalia mtoto
Kuna kimbusi huko ananijia juu utazani kanizalisha yeye kwani mwanamke kuwa na mtoto dhambi hata yeye mwenyewe unaweza kuta katokea familia hizo hizo za single mother halafu ndiyo wanaongoza kutukana single, unajiuliza kwanini hakumshauri mama yake warudiane na baba yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom