Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,111
Hata huyo mwanaume nae ana utoto mwingi yaani mke Kukataa kwenda kwao sababu ya kuachana.
Ni kweli unachokisema. Sema hawa ndugu zetu wanadhania ndoa ni lelamama.
Hata huyo mwanaume nae ana utoto mwingi yaani mke Kukataa kwenda kwao sababu ya kuachana.
Nikajua labla wamesalitiana kiasi ni katizo.Ni kweli unachokisema. Sema hawa ndugu zetu wanadhania ndoa ni lelamama.
Huyo mtoto ni wa huyo mtoto ni wa mchumba wako ama wa jamaa mwingine? Kama ni wa mchumba basi hana haja ya kudai mahari, kwa sababu tayari kakuzalisha!Habari wanajf na heri ya pasaka.
Niende kwenye lengo la uzi...mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miezi 7 nina miaka 26. Miezi 3 iliyopita nilitengena na mzazi mwenzangu ambaye alishanitolea mahari na kunivalisha pete ya uchumba kwa sasa nipo nyumbani na mtoto wangu.
Mwanzoni nilipata wakati mgumu sana kukubali kwamba tumetengana lakini namshukuru Mungu sasa hivi nimekubaliana na hali na nipo vizuri kabisa.
Baba mtoto wangu alikataa kabisa kuchukua mahari yao na pia kuwashirikisha wazazi juu ya kutengana kwetu kwa madai tulikutamchumba ama wa jamaa mwingine? Kama ni wa jana wawili tuu wakati pete tulivalishana mbele ya wazazi na ndugu wa pande zote.
Swali langu ni je naweza kuingia kwenye mahusiano mapya wakati yeye hajachukua mahari yake? Na je kwa mfano mtu akataka kuja kutoa mahari inakuwaje kuhusu mahari yao ya mwanzo haitakuwa na shida yoyote maana hataki kuchukua kabisa na watu wanasema kubaki na mahari yake itanifunga sababu kimila bado nitakuwa mke wake.
Ninachohofu mbeleni asije leta shida akasema ni mchumba wake halali sababu temetengana kienyeji sana. Naombeni msaada wa mawazo juu ya hili.
Asanteni kwa mchango wenu.
Mmeachana miezi 3 tu unataka kuingia kwenye mahusiano mapya? Haraka ya nini dia? Mbona ni muda mfupi sana....tulia tuloza akili yako kwanza ulee mwanao.
Habari wanajf na heri ya pasaka.
Niende kwenye lengo la uzi...mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miezi 7 nina miaka 26. Miezi 3 iliyopita nilitengena na mzazi mwenzangu ambaye alishanitolea mahari na kunivalisha pete ya uchumba kwa sasa nipo nyumbani na mtoto wangu.
Mwanzoni nilipata wakati mgumu sana kukubali kwamba tumetengana lakini namshukuru Mungu sasa hivi nimekubaliana na hali na nipo vizuri kabisa.
Baba mtoto wangu alikataa kabisa kuchukua mahari yao na pia kuwashirikisha wazazi juu ya kutengana kwetu kwa madai tulikutana wawili tuu wakati pete tulivalishana mbele ya wazazi na ndugu wa pande zote.
Swali langu ni je naweza kuingia kwenye mahusiano mapya wakati yeye hajachukua mahari yake? Na je kwa mfano mtu akataka kuja kutoa mahari inakuwaje kuhusu mahari yao ya mwanzo haitakuwa na shida yoyote maana hataki kuchukua kabisa na watu wanasema kubaki na mahari yake itanifunga sababu kimila bado nitakuwa mke wake.
Ninachohofu mbeleni asije leta shida akasema ni mchumba wake halali sababu temetengana kienyeji sana. Naombeni msaada wa mawazo juu ya hili.
Asanteni kwa mchango wenu.
na kweli pia dont stress yourself my dearHata mimi pia sijapoteza kitu mkuu sababu mtoto wangu ni zawadi nzuri sana na sijutii kumzaa ananipa furaha sana. Mengine Mungu anapanga mwenyewe.