BABA LEA WATOTO
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 364
- 816
Muwe na huruma mtoto miezi saba mmetengana miezi mitatu tayari unafikiria kupokea mahari ya wengine hapo hesabu za kawaida we ndo ulivunja mahusiano....kwa nini usifikirie kuwa amekupa muda ujitafakari??