Pole aisee basi madam amekataa mwenyewe usifungweSababu ni ile ile ya kurudi nyumbani. Asante sana nimeshapoa na tumekubaliana tutalea tuu mtoto pamoja. Najua hatutaweza kuwa pamoja tena sababu yeye anasema siku niliyoondoka ndio nae alivunja mahusiano moja kwa moja .
Miaka sita mkuu??? daah aisee sababu gani maana kama malezi ya mtoto analelewa vizuri tuuMama wewe kwanza fikiria kulea mwanao ndiyo kwanza ana miezi saba hayo mambo ya mahari kwa sasa achana nayo utayafikiria walau mwanao akiwa na miaka minne au sita mkuu
Inakupasa kuchukua muda wa kutosha kujitathimini na kujirisha kama kweli umeridhia kutengana na mzazi mwenzio isije kuwa mlifanya maamuzi kwa hasira alafu baadae ukaja jutia
Au adeposit benki mchezo uishemtumie mahari yake kwa tigo pesa
Hahaha mkuumtumie mahari yake kwa tigo pesa
Nakusalimu mkuuSasa akichukua mahari na huyo mtoto au siku akimwitaji atatoa nyingine mahari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa akichukua mahari na huyo mtoto au siku akimwitaji atatoa nyingine mahari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lifikishe kwa wazazi nazani mama atakupa ushauri mzuri kisha mzee mambo yatakaa vizuri,Mtoto alishalipa hela ya uchafuzi maana mahari alitoa kipindi nina ujauzito. Mimi nahitaji kujua je kubaki na mahari yake haitaleta shida?? na vile hataki tuvunje uchumba mbeleni hawezi kuleta shida kwamba huyu ni mchumba wangu halali??
Mimi ni mbena na mwenzangu ni mchaga