Hukuyasema ndiyo umeyasema sasa. Unaonekana umechoka pole, bila shaka hawa wanaJF wamekuchosha usiku kucha.
Ok kwa hiyo vikubwa vilivyokupeleka nyumbani ni.
1. Huduma mbovu na kutojaliwa ukweni.
2. Unataka utaratibu mpya wa ndoa.
Lakini, ulishayazungumza na mwenza wako kuhusu haya mambo kwa undani? Naposema kuzungumza sio kule kulalamika.
Hapana ni kutafuta sehemu tulivu ukamtajia moja baada ya jingine kisha mkaja kwenye suluhu. Hili ulipaswa ulifanye kabla ya kurudi kwenu lakini unaweza kulifanya pia.
Usiniambie ulishajibu hili kule juu, nijibu.
Yeye anasemaje kuhusu situation nzima? Msimamo wake.