mwanadar
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 397
- 260
Lakini mtoa mada ni ke.Washa bend mkuu akishazaa utajipangia mahari mwenyewe
Lakini mtoa mada ni ke.Washa bend mkuu akishazaa utajipangia mahari mwenyewe
Sisi kwetu hatuna mambo ya mila kabisa na hajafanyiwa chochote labda kama wao ndio walitaka kumfanyia huko kwao.Hapa nadhani Kuna mvutano wa Mambo ya kimira kuhusu huyo mtoto. Mama mkwe anataka mjukuu wake akafanyiwe matambiko kwa upande wao na kwenu mnataka kufanya hivyo pia. Huu ndo ukweli ambao hamuuweki wazi ndo maana mnatoleana ubabe.
Ulichotakiwa kufanya ni kumtii mumeo na mama yake. ulipokataa wakaona ni dharau kubwa Sana na wanaume wengi hatupendi dharau iwe kwetu wenyewe au kwa ndugu zetu wa karibu hasa hasa mama zetu.
Soma kwenye biblia kitabu Cha esta yule malikia vashit alitimuliwa kwa kosa dogo Sana la kuitwa na mumewe mfalume akakataa.
Mtu amekulipia mahali ina maaha uko chini yake mpaka kifo huyo ndo baba yako kwa Sasa kwa hiyo kumdharau ni kosa kubwa Sana.
Hata Mimi ningefanya Kama alivyokuwa huyo jamaa yako, wanawake wenye viburi, dharau na kutotii ndo wanaoongoza kuvunja ndoa.
Alikwambia usiende weewe ukabisha na kwenda Sasa angefanyaje?
Kuhusu kutochukua mahali yupo jamaa anafikiria njia nzuri zaidi ya kutumia, hataki aonekane au akosane na ndugu zako kwa Mambo ya kukurupuka na kuwapa usumbufu usio wa lazima.
Natumia desktop ya ofisi mkuu, nisaidie swali la kwanza na mwisho.Maswali yote uliyo Uliza kajibu pitia comments mkuu
walikuwa wanaishi wote, Yes ana fanya kazi.Natumia desktop ya ofisi mkuu, nisaidie swali la kwanza na mwisho.
Sawa. Mimi Kama Mimi nimeona utii tu ndo umepungua hapo.vinginevyo mlikuwa hampendani au Kuna sababu nyingine nyuma ya pazia kwako au kwake.Sisi kwetu hatuna mambo ya mila kabisa na hajafanyiwa chochote labda kama wao ndio walitaka kumfanyia huko kwao.
Kufikiria dushe la mwanaume mwingine ni pale uliposema je unaweza kuingia kwny mahusiano mengine. Sa huko si ndio kufikiria dushe!Hivi mkuu umeelewa swali hapo wapi nimesema nafikiria dushe la mwanaume mwingine?? Swali langu ni mahari yake anayokataa kuchukua haitakuwa na effect baadae kama nitakuwa na mahusiano au mtu atataka kutoa mahari....Halafu kulea mtoto na dushe hakuna uhusiano maana unaruhusiwa baada ya siku arobaini tuu akishazaliwa
Asante sana mkuu, sema namuona mtoa mada kama ana utoto mwingi na anashikiwa akili na familia yake. Ila ya Kaisari mwachie Kaisari.walikuwa wanaishi wote, Yes ana fanya kazi.
Hata huyo mwanaume nae ana utoto mwingi yaani mke Kukataa kwenda kwao sababu ya kuachana.Asante sana mkuu, sema namuona mtoa mada kama ana utoto mwingi na anashikiwa akili na familia yake. Ila ya Kaisari mwachie Kaisari.
OhOo PM tena... Hutotoka salama.Natamani sana ningekupa hata proof moja tuu PM..mkuu inaonekana ulishwahi tendwa na wabena pole sana kwa hilo maana coment zote unaponda sana wabena
wala mimi sina hiyo tabia. Sema watu hawanielewi kuuliza kuhusu mahusiano mapya au mtu kutoa mahari sio kwamba nina mtu au nategemea hapana...Nia yangu ilikuwa kujua madhara ya kubaki na mahari sababu wanasema forever nitabaki kuwa mkewe hata kama hatutakuwa pamoja.OhOo PM tena... Hutotoka salama.
Ntakuongezea idadi buree..
nmwenza wangu anamsikiliza sana mama yake hata kitu mkikubaliana wawili anamshirikisha mama akikataa basi na yeye anakubali tuu hadi mambo personal.
Mfano mzuri tulitaka kubadilisha dada wa kwazi sababu alikuwa ana mambo ya wanaume sana asingeweza kulea mtoto tukakubaliana na mwenzangu nikamwomba mama yangu atutafutie akampata kabisa ikabaki kumwagiza aje tunapokaa.Mwenzangu alipomshirikisha mama yake akakataa tusibadilishe nae akakubali kumbuka alishafatutwa mpya.
Je hakufukiria mtoto wake ataishije na dada anayeshinda kwa wanaume pale sisi tutakapoenda kazini? Hajui madhara yake?
Kiukweli mi nimekuja kumuelewa huyu dada nilivyosoma comments zake kosa sio lake moja kwa moja nimempata vzr tuMkuu sio kutoa lawama kwa huyo dada niseme na huyo mwanaume nae alikuwa anatafuta sababu kama chanzo ni hicho cha kutengana ni cha kipumbavu kabisa ukizingatia Wana mtoto hawezi maisha ya ndoa hata huyo Mwanaume pia ndio maana ana kataa suruhu kwa pande mbili.
Hata kama kosa lake mkuu hiyo ni sababu ya kumuacha ukizingatia bado ana mtoto hajui kama mama akiwa hana furaha na mawazo tele mtoto ana kuwa dhaifu.Kiukweli mi nimekuja kumuelewa huyu dada nilivyosoma comments zake kosa sio lake moja kwa moja nimempata vzr tu
Mama akiwa hana furaha analea watoto bila kujali hisia zao na hapo ndo mtoto anakosea kdg mama anampa adhabu iliyopitiliza..Hata kama kosa lake mkuu hiyo ni sababu ya kumuacha ukizingatia bado ana mtoto hajui kama mama akiwa hana furaha na mawazo tele mtoto ana kuwa dhaifu.