Hata wanawake wanapenda mabosi wa kiume, weka hapa mkasa wako wa boss wa kike

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
Maboss wa kiume hujitahidi sana kuwa katikati / neutral na hata ishu za chuki / upendeleo huwa wanaweza kula na kipofu wengine iwe ngumu kujua kinachoendelea,

Ubaya wa maboss wa kike ni kwamba wengi huwa hawana uvugu vugu, ni aidha wawe malaika ama wakaksi, sasa umkuta mkaksi maji unayaita mmaahhh!!


  • unakuta unafanya kazi yako anaanza kuja kuangalia unavyoifanya huku akirudia kukuelekeza mambo yale yale ambayo tayari unayatelekeza kama alivyokuagiza,
  • kuna vitu ambavyo mnaweza kushirikiana co workers lakini anavibana maksudi ili muende kuvipata kwake mfano anaweza kuwaambia mprintie kazi ofisini kwake alafu baadhi ya karatasi anazitunza yeye mtu mwengine akizihitaji ni mpaka aende ofisini kwake wakati ingekuwa rahisi karatasi ziwepo eneo la kazi
  • panapotokea tatizo basi hutumia nguvu kubwa sana kuwatupia lawama watu anaowaongoza ili kukwepa uwajibikaji
  • kufanya maamuzi kivyake vyake bila kuwashirikisha ni kawaida, mnashangaa tu maamuzi yamefanyika wala hamjashirikishwa na ukihoji anaanza mambo ya kujionesha yeye ni boss,

urafiki / undugu / ukabila wa wazi wazi bila kujificha - ni kweli haya mambo yapo lakini huku hawajui kula sahani moja na kipofu, inakuwa rahisi sana haa mgeni kujua bosi ukiwa sio mtu wake wa karibu kuna ushirikiano mdogo

Ikitokea Boss kapewa cheo sababu Boss mkuu anampenda basi wafanyakazi wa kike walio chini yake huwa anaona kama washindani kwa kuhofia nao wanaweza kupewa vyeo walingane ama vyeo vya juu zaidi ikiwa bosi atawaelewa, hapo ndio huwa kuna viroja kibao vya ajabu ajabu
 
Sitasahau yule mama aliponambia "sioni hata mnachofanya hapa, hata hiyo pesa nawalipa KUWASAIDIA TU shida zenu"

wakuu hii ndio ilikua motivation yangu ya kuacha kazi ya mshahara wa milion 2 laki 9 kwa mwez kwenda kuanza personal hustles from Zero kabisaaaa

mabosi wa kike ni nyoko mbaya.

Hakuna kitu nathamini katika maisha yangu kama peace of mind.Maana hii ndio siri ya ufanisi na ubora kwenye kila kitu nachofanya.

Ukitaka kunivuruga tu wala huna haja ya kutumia nguvu nying, just nitengenezee mazingira toxic hapa sichukui round nakuachia . Am so used to proffesional frustration ila hiz personal stuffs siziwez kabisaa
 
Yan ni noma...
Yan hata kwenye mishe nazofanya, taasis nazofanya nazo kazi zinazomilikiwa au kusimamiwa na mabosi wa kike huwa wana changamoto sana..Juz nimemu invoice madam baada ya kaz ambayo alihitaji mapema kabla ya wakati, alichonijibu sasa???

Ikabid nimwambie Mam mimi hata sina haraka ya malipo if you think am after money, i can guarantee my services are what exactly you need, nakupa guarantee tumia kwa miez miwil ukiridhika utaingiza hiyo pesa..
 
Mabosi wengi wa kike wanahuruma na utu sana esp kwa jinsia ya kiume.kwa jinsia ke lazma walalamike mbele ya boss ke cause post postv tends to repel each other
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom