Hata wanaume huingia period

Hata wanaume huingia period

Kwi kwi kwi nawaona humu wengi mlivyo kwenye period leo kwa comments zenu....
Teh teh teh teh..
 
Stress free zone JF!!khaa basi mpenz wangu nahs kila siku yuko period huhuhu!
 
Najua wengi watabisha sana tu lakini wanaume nao huingia period

Period ya wanaume ni kuishiwa ambapo huambata na stress na hasira za kijinga

Hata Hapa kuna wachangiaji watakuja wakiwa period , utawafahamu tu kwa michango yao

Ukiona mwanaume anakwambia yupo period ujue kaishiwa
imebidi nicheke tu...halafu acha uchoyo wa like we umepokea 589 umetoa 2 acha wivu na uchoyo
 
Ukiwa period utajua! Mwee!!!
Na December hii kuelekea Jan wengi wataingia period.

hehehee!!! financial issues!!

hili boom la pili naomba niweke strings juu!

no woman...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom