Hata wanaume huingia period

Hata wanaume huingia period

Najua wengi watabisha sana tu lakini wanaume nao huingia period

Period ya wanaume ni kuishiwa ambapo huambata na stress na hasira za kijinga

Hata Hapa kuna wachangiaji watakuja wakiwa period , utawafahamu tu kwa michango yao

Ukiona mwanaume anakwambia yupo period ujue kaishiwa

Najua wengi watabisha sana tu lakini wanaume nao huingia period

Period ya wanaume ni kuishiwa ambapo huambata na stress na hasira za kijinga

Hata Hapa kuna wachangiaji watakuja wakiwa period , utawafahamu tu kwa michango yao

Ukiona mwanaume anakwambia yupo period ujue kaishiwa
The analogy you have used to compare menstruation period in Man is totally wrong in short you have committed fallacy of irrelevant
 
Tunauza pant-liner kwa wanaume mliopo period, mikoani tunatuma kwa bei nafuu kabisa
 
Najua wengi watabisha sana tu lakini wanaume nao huingia period

Period ya wanaume ni kuishiwa ambapo huambata na stress na hasira za kijinga

Hata Hapa kuna wachangiaji watakuja wakiwa period, utawafahamu tu kwa michango yao

Ukiona mwanaume anakwambia yupo period ujue kaishiwa
Wanaume wanao ingia period ni kina babalevo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom