Najua wengi watabisha sana tu lakini wanaume nao huingia period
Period ya wanaume ni kuishiwa ambapo huambata na stress na hasira za kijinga
Hata Hapa kuna wachangiaji watakuja wakiwa period , utawafahamu tu kwa michango yao
Ukiona mwanaume anakwambia yupo period ujue kaishiwa
Hata mimi mbona leo niko period sitaki kuguswa na mtu anayeitwa mwanamke
Hata mimi mbona leo niko period sitaki kuguswa na mtu anayeitwa mwanamke
heee!! olweiz? ile yenye kasha la bluuu?
hivi ndani kuwa ikoje!? mi huwa naona matangazo tu,
ila jinsi ya kutumia hawaoneshi!
heee!! olweiz? ile yenye kasha la bluuu?
hivi ndani kuwa ikoje!? mi huwa naona matangazo tu,
ila jinsi ya kutumia hawaoneshi!
hahahahahahahaha!!!!!! Nimekaribia kuingia period kama maana yako ni kuishiwa (Financially)