Hata wanaume huingia period

Hata wanaume huingia period

Naona kinadada mnakuja tu, hamkawii kutuita wanaume wenye vitambi kuwa ni wajawazito haya ndio malengo ya haki sawa kwa wote?
 
Kweeli kabisa sijui ilikuwaje natumia Jf mobile ambapo mara nyingi ni ngumu kuingia full site maandishi yanakuwa madogo mno
unatumia mobile.....huingii full site??.........post quote unazionaje...................
 
kama ndio hivyo, basi period ya mwanaume ni nouma sana, maana wengine wanaishiwa miezi 3, halafu mimba yake sasa ni nouma.
 
unatumia mobile.....huingii full site??.........post quote unazionaje...................

nimelipenda hili swali!

mimi natumiaga nokia phillips, hazionyeshagi kabisa pq. au kwa vile mche wa mwichi?
 
nimelipenda hili swali!

mimi natumiaga nokia phillips, hazionyeshagi kabisa pq. au kwa vile mche wa mwichi?
nimemnasa kwenye kona......amekimbia mwenyewe hi hi hi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom