leoniamahela
Member
- Nov 18, 2013
- 12
- 4
Mmh mimi ndo sisemi tu hapo yaan cna hamu na hao binadamu waitwao wanaume... Hata umbebe mgongon asubuh na mchana atamuona mfupi atataka atest radha yake....wanakatisha tamaa hawa viumbe
Thank you for this word ''BAADHI''
Bin Adam wote hawaridhiki
huo msemo umebeba mambo mengi sana............kwa wanawake wataelewa what I mean
Kwani wanawake wenyewe wanaridhika??
Babu DC!!
thanks for correctionActually we do not cheat, we are playing our part. Mwanaume hajawahi kuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja. Kuanzi binadamu na wanyama wengine. Kama bado wanabisha waambie wakayaulize mabeberu na majogoo.
dont worry too much!! jaribu kupunguza 'strictness' kwenye monogamyThis kind words make me worried........thinking of my MAN what the hell will he be doing right now......
its not that easir to accept that thing no matter how many times u have been alerted
Hakuna cha maana hapa,hakukuwa na ulazima wa kukomenti majibu ambayo wengine inabidi tuanze kuuliza ulimaanisha nini?Kuna huna michango ya mana na ya kueleweka thread zingine hupaswi kukomenti vinginevyo komenti kama hii hazina maana yoyote.
sizijuchi kabisa..........nikitaka kuchuja natumia dildo:shocked::shocked:..........so ur guys are POLYGAMIST in naturee
Mie huwa naridhika for real.......
wanaume waacheni tu walivyo ndo maana me huwa nawachukia sana............
leo sijaona thread ZAKO utaanzisha saa ngapi!!!!!!!
ka haina maana si ungepita kimya kimya.....wenye kujua maana yake wameelewa nashangaa we
kutoka ulikotoka huyo na kudandia treni kwa MBELE.......nna mashaka na jinsia yako......
kwani umewahi kunipa nini na sikuridhika..???
Just a single test,
Msindikize mtu wa jinsia ya KE shopping (na endapo kamba yake ni ndefu), utaona viroja....
Wewe unayaweza hayo?
Au topic ni kuridhika kwenye ngono tu??
Babu DC!!
hapa sana sana tunaongelea kwenye mapenzi
ya SHOPPING weka kapuni kwanza babu.......
halafu hivi nilikumbuka kukupa heshima yako kweli????????
...mhh tinna, wakirudi wote inakuwaje(incase kama uliwahi kuwa na mahusiano na wanaume zaidi ya mmoja)...
Mbwa ukimjua jina hakusumbui!
Jaribu kuwapa bule.Ni kweli tena huwa hawaridhiki kabisa na hata uwape nini
Asante!!! hapo sawa. Bila kuvumiliana hakuna kitu best. Pia ukitegemaea mtoane droo hiyo kitu haipo kabisaaaTatizo si kumpa kitu bali kujua jinsi ya kuishi na mpenzio/mume,,,,,, kuvumilia mapungufu yake.