Hata umpe nini mwanamme haridhiki??

Hata umpe nini mwanamme haridhiki??

Ni kweli tena huwa hawaridhiki kabisa na hata uwape nini
 
Hamuriziki mukipewa ndani munataka na nje!
 
Kwahiyo Mbwa ukishamjua jina hakupi shida? sasa mbona wenzio wanalalamika eti hawaridhiki hata uwape kitu gani? sasa swali ni hivi,Mnawapa nn ili wenyewe wawaambie shida ni hapa ili waridhike?


Tatizo si kumpa kitu bali kujua jinsi ya kuishi na mpenzio/mume,,,,,, kuvumilia mapungufu yake.
 
Kweli mwanaume haridhiki hata umpe nini hawezi kutosheka,,,,,,,,,
But ukimpatia na kumjulia hakupi shida............. atazunguka kote mwisho wa siku lazima arudi!""!"

Mbwa ukimjua jina hakusumbui!
 
Kweli mwanaume haridhiki hata umpe nini hawezi kutosheka,,,,,,,,,
But ukimpatia na kumjulia hakupi shida............. atazunguka kote mwisho wa siku lazima arudi!""!"

...mhh tinna, wakirudi wote inakuwaje(incase kama uliwahi kuwa na mahusiano na wanaume zaidi ya mmoja)...
 
Hii kauli si ngeni, wanawake wengi nimewasikia wakilalama
kwa msemo huu...
Naomba wenyewe wajibu....
Hivi kwani wanawapa nini wanaume?? Tujadili
one woman isn't enough; accept it.
 
Nikipewa ndogo naridhika.
wengi walishajaribu kusacrifice marinda yaani 0713 still bado jamaa vibration ikimpitia kwa mbele network inasearch kama kawa na nyie madem mmezidi uzuri unakutana na demu kama haudhulii toilet
 
Back
Top Bottom