Hata umpe nini mwanamme haridhiki??

Hata umpe nini mwanamme haridhiki??

Kweli mwanaume haridhiki hata umpe nini hawezi kutosheka,,,,,,,,,
But ukimpatia na kumjulia hakupi shida............. atazunguka kote mwisho wa siku lazima arudi!""!"

Hivi mchezaji wa mpira wa miguu mzuri ni yule anayeshambulia na kukaba eti eehh!!
 
Hata kwenye mapenzi,

Kudhani kwamba mtu ataridhika ni sawa na kuamini kwamba ukila leo unamaliza njaa ya mwaka mzima...

Kitu cha msingi ni kuushinda moyo na kuuthibiti ili usijekabiliana na karaha za kudandia kila kitu hadi mitetea ya kuku....

Kwako wewe kudai kwamba unaridhika ni kujipa faraja ya muda tu.....

Babu DC!!

hata kama huridhiki lazima ukubali kuridhika na ulichonacho kwamba this is what I have

may be na mimi ndio hicho huwa nafanya.......saa nyingine huwa

nawaza sana haya mapenzi hapa kila m=mwanaume anaepita kwenye desk

langu hapa job namuangalia nawaza moyon huyu nae haridhikag ana totoz nje
 
Hii kauli si ngeni, wanawake wengi nimewasikia wakilalama
kwa msemo huu...
Naomba wenyewe wajibu....
Hivi kwani wanawapa nini wanaume?? Tujadili

Mwanaume atatosheka tu na huduma ya mwanamke pindi tu siku atapoweza kula bila jasho...
 
Hakuna binadamu mkamilifu, akiwa mzuri kwenye hiki atakuwa mbaya kwenye kile. Cha muhimu ni kuvumiliana baaaaaaaaaaas " Ila vinavyovumilika tu"!!!!!!!
 
Back
Top Bottom