Hata mfurahie madhila yaliyompata Polepole, Watanzania wenye nia njema na Taifa hili wapo pamoja nae

Huyu kijana atauwa na utawala huu kwani anapowaweka mafisadi na wahujumu wa maendeleo wazi inawauma ndiyo maana Bulembo kaja wazi kweupe na kutamka jina la POLEPOLE na hata Polepole akiuwa na yote yaliyoanza kummkuta Bulembo anahusika ila timu Samia wamemtuma Bulembo

Polepole anawaamsha wengi hasa ucheleweshaji wa miradi aliyoianzisha brother JPM zaid zaidi wa umeme kwa kisingizio cha CRANE for fucks sake what a crane?? Ona Samia kawatoa Chamriho na Kalemani bila kutaja mapungufu yao kimya kimya why walikuwa ni vikwanza wa dhamira yake ya ucheleweshaji wa miradi ambayo wawili hao walikuwa wanasimamia 24/7

Watanzania jueni kwa Samia yametimia ufisadi unarudi kwa kasi

SGR treini za Dar Moro ilikuwa zianze majaribio November iliyopita leo wamesema labda mwakani

CCM badilisheni katiba tumpate atakayekuwa aghalau nusu ya brother JPM kama ni haja ya rais wa kike wapo wengi siyo lazima Samia mnaona wenyewe

Huko Tanesco tayari kina Makamba washaleta kampuni ya kutoka India kwa malipo ya dollar 30m per year kwa kazi gani only January knows na huko TRC tunasubiri kauli za wabia,,, unatafutaje wabia wakati umeshajenga?? it doesnt make sense
Nchi ni kama inarudi kulekule kwa majizi.....Mungu asimame.
 
Acheni kutubwekea, kuweni n'a uvumilivu wapuuzi Nyie, je walio pamoja n'a Lisu,mbowe,azor,ben9 nao wasemeje. Mnadhani Mungu ni wenu tu !.

Mkayamalize Lumumba, hapa hapawafai Zombie.

Kwani ç nyinyi kwa nyinyi.
 
Nishike lipi 1au A mwenzenu kuhusu Polepole inanichanganya!

1- Warumi 12
17 Msimlipe mtu ovu kwa ovu. Angalieni yaliyo mema machoni pa watu wote.

18 Kama yamkini, kwa upande wenu, mkae katika amani na watu wote.

19 Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana.

20 Lakini, Adui yako akiwa na njaa, mlishe; akiwa na kiu, mnyweshe; maana ufanyapo hivyo, utampalia makaa ya moto kichwani pake.

21 Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.


وَلَكُمْ فِي الْقِصَاصِ حَيَاةٌ يَا أُولِي الْأَلْبَابِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ A

[ AL - BAQARA - 179 ]
Mtakuwa nao uhai mzuri katika kulipiza kisasi enyi wenye akili, ili msalimike.
 
Inashangaza sana kuona wafuasi na wanachama wa upinzani wanafurahia uonevu anaofanyiwa Hamphrey Polepole. Hii yote ni sababu tu alipokuwa mwenezi wa CCM taifa alijenga imani ya CCM kwa wananchi na kusababisha wapinzani wengi kuunga juhudi.

Anakosea nini kukosoa na kusema kweli kuwa Ccm inafanya makosa? Anakosea nini kukosoa juu ya mradi wa JNHP kucheleweshwa bila sababu? Kama kuna harufu za kifisadi juu ya pesa umma, au miradi kama bandari ya Bagamoyo, kuna kosa?

Je, mnadhania watanzania wanaupofu? Hawaoni kuwa Polepole anasimamia wapi?

Watanzania wazalendo wapo pamoja na Polepole.
Yuko wapi Fredrick Ngoyai Lowasa? Yuko wapi Frederick sumaye?
 
Hakuna mtanzania yupo na polepole, tena ilibidi apigwe risasi hata tano ili iwe fundisho kwa wapumbabu kama yeye.

Wakati Mawazo ya Lissu yanapigwa risasi 16 ulikuwa hujazaliwa, au ulishangilia?

ACHA UNAFKI.
Achana na mambo ya Lissu raisi mtarajiwa 2025 wa waishio ndotoni
Kesi huko inawashinda kazi kutoa mapingamizi yasiyo na mashiko kila siku,,, Hamuwezi shinda kesi kwa kuweka mapingamizi au huo ndiyo ushauri wa Lissu aliyesoma sheria kuliko watanzania wote wakati alisomea bongo na walimu wa kitanzania.
Badilikeni kuweka mapingamizi na kuchagua majaji huyu hafai huyu hafai bora mjihukumu wenyewe Lissu awe jaji hata kama kesi haina mashiko mapingamizi siyo utetezi wa mashtaka,,, kesi ya kijinga mnashindwa kujitetea kazi kukataa majaji
 
Huyu kijana atauwa na utawala huu kwani anapowaweka mafisadi na wahujumu wa maendeleo wazi inawauma ndiyo maana Bulembo kaja wazi kweupe na kutamka jina la POLEPOLE na hata Polepole akiuwa na yote yaliyoanza kummkuta Bulembo anahusika ila timu Samia wamemtuma Bulembo

Polepole anawaamsha wengi hasa ucheleweshaji wa miradi aliyoianzisha brother JPM zaid zaidi wa umeme kwa kisingizio cha CRANE for fucks sake what a crane?? Ona Samia kawatoa Chamriho na Kalemani bila kutaja mapungufu yao kimya kimya why walikuwa ni vikwanza wa dhamira yake ya ucheleweshaji wa miradi ambayo wawili hao walikuwa wanasimamia 24/7

Watanzania jueni kwa Samia yametimia ufisadi unarudi kwa kasi

SGR treini za Dar Moro ilikuwa zianze majaribio November iliyopita leo wamesema labda mwakani

CCM badilisheni katiba tumpate atakayekuwa aghalau nusu ya brother JPM kama ni haja ya rais wa kike wapo wengi siyo lazima Samia mnaona wenyewe

Huko Tanesco tayari kina Makamba washaleta kampuni ya kutoka India kwa malipo ya dollar 30m per year kwa kazi gani only January knows na huko TRC tunasubiri kauli za wabia,,, unatafutaje wabia wakati umeshajenga?? it doesnt make sense
Ulipomtaja jiwe ndipo ulipoharibu
 
Inashangaza sana kuona wafuasi na wanachama wa upinzani wanafurahia uonevu anaofanyiwa Hamphrey Polepole. Hii yote ni sababu tu alipokuwa mwenezi wa CCM taifa alijenga imani ya CCM kwa wananchi na kusababisha wapinzani wengi kuunga juhudi.

Anakosea nini kukosoa na kusema kweli kuwa Ccm inafanya makosa? Anakosea nini kukosoa juu ya mradi wa JNHP kucheleweshwa bila sababu? Kama kuna harufu za kifisadi juu ya pesa umma, au miradi kama bandari ya Bagamoyo, kuna kosa?

Je, mnadhania watanzania wanaupofu? Hawaoni kuwa Polepole anasimamia wapi?

Watanzania wazalendo wapo pamoja na Polepole.
Yaan wew ndo kipofu wa kwanza paspo hata wasiwasi
 
Nakukosoa....,
Tusiishie kujenga taasisi, Bali tujenge nchi pamoja na mshikamano.

Tusifurahie mateso ya wenzetu kiss hatujafikiwa.

Yaliyotokea kwa polepole, ndo Ayo Ayo yalotokea kwa mbowe, lissu Hapo hapo nyumba za wabunge dodoma.

Dhambi ya ubaguzi hainaga kwao, Tusilete double standars.
Read between lines
 
Back
Top Bottom