Nchi ni kama inarudi kulekule kwa majizi.....Mungu asimame.Huyu kijana atauwa na utawala huu kwani anapowaweka mafisadi na wahujumu wa maendeleo wazi inawauma ndiyo maana Bulembo kaja wazi kweupe na kutamka jina la POLEPOLE na hata Polepole akiuwa na yote yaliyoanza kummkuta Bulembo anahusika ila timu Samia wamemtuma Bulembo
Polepole anawaamsha wengi hasa ucheleweshaji wa miradi aliyoianzisha brother JPM zaid zaidi wa umeme kwa kisingizio cha CRANE for fucks sake what a crane?? Ona Samia kawatoa Chamriho na Kalemani bila kutaja mapungufu yao kimya kimya why walikuwa ni vikwanza wa dhamira yake ya ucheleweshaji wa miradi ambayo wawili hao walikuwa wanasimamia 24/7
Watanzania jueni kwa Samia yametimia ufisadi unarudi kwa kasi
SGR treini za Dar Moro ilikuwa zianze majaribio November iliyopita leo wamesema labda mwakani
CCM badilisheni katiba tumpate atakayekuwa aghalau nusu ya brother JPM kama ni haja ya rais wa kike wapo wengi siyo lazima Samia mnaona wenyewe
Huko Tanesco tayari kina Makamba washaleta kampuni ya kutoka India kwa malipo ya dollar 30m per year kwa kazi gani only January knows na huko TRC tunasubiri kauli za wabia,,, unatafutaje wabia wakati umeshajenga?? it doesnt make sense