Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,995
Swali kidogo naomba kuelimishwa, kwenye hizo picha hakuna picha inayoonesha kwamba bwana na bibi harusi wanafungishwa ndoa na sheikh, kwahiyo hapo anaolewa nani?
Bado nipo kwenye utafiti mkali sana kwa nini ndoa za kwenye mkeka talaka huwa hazichelewi? halafu mwisho ningeomba kujuwa huyo ni mke wa ngapi? tatu na huyo bibi harusi ni mjane au alishapewa talaka na wanaume wake wa awali? ni hayo tu wakuu.
Bado nipo kwenye utafiti mkali sana kwa nini ndoa za kwenye mkeka talaka huwa hazichelewi? halafu mwisho ningeomba kujuwa huyo ni mke wa ngapi? tatu na huyo bibi harusi ni mjane au alishapewa talaka na wanaume wake wa awali? ni hayo tu wakuu.