Harusi kuanza kulipiwa kodi

Harusi kuanza kulipiwa kodi

N

Haha baba A i c u...nikajua utasema wasubiri kwanza kama miaka miwili mitatu afu ndo waanze..
hahaha, nipo karibu JF mamito...
Mie ata kesho naona nikiokota mil 20..ila kama hela naitafuta,basi sina budi zaidi ya kuvuta subira mpaka mwakani majaliwa
 
Kila kitu kinachotumiwa kwenye sherehe za harus ninaimani vinakuwa vimeisha lipiwa kodi kuanzia chakula, vinywaji hadi mavazi. Sasa kodi itakuwa inakatwa kwenye nn?
 
Kama baadhi ya watumishi kwenye baadhi ya madhehebu wanadai...michango ya harusi ikatwe fungu la kumi , kuna ajabu gani serikali kutoza kodi michango hiyo?

Nawashauri wasiwaze kukata mahari kodi...! Hapo hawataeleweka.
=================
Naunga mkono hoja.
 
DAH! HII NIMEIPENDA SANA, BAJETI YA HARUSI 70MIL NO KODI HALAFU UNAAMBIWA UKITOA LAKI UTAPEWA KADI YA SINGLE NA UKITOA 50ELFU NI `ASANTE` NO KADI. SASA LAZIMA TUWE NA AKILI...... MAGUFULI HUREEEEEE!
TUPO NYUMA YAKO BABA.
 
Ukipata huduma yoyote omba risiti. Mtoa huduma ata toa sehemu ya mapato TRA. Wote watumie EFD machines
 
Mh sasa kodi ya michango ya harusi kwenye nchi ya maziwa na asali? Mbona kule kwa Muamari tunaambiwa serikali ndo ilikuwa anagharamia kulipa mahari ile ilikuwa nchi ya nini?
 
Mwishoni tutaanza kulipia kodi ya mizinga hii tunayopigwa na akina dada.
Yaani ukipigwa mzinga wa 200,000 ujue hiyo ni VAT EXCl, andaa 18% ambayo ni 36,000 ili iende kwenye serikali ya viwanda.
 
Mm nikipewa hii nchi naweza kuiongoza kupitia madini tu
Sio rahisi kiasi hicho kwa hali ya nchi ilipofikia. Lakini ni kweli Tanzania ina utajiri mkubwa sio tu kwenye madini na maliasili bali hasa kwenye raslimali watu. Watanzania ni wataratibu (ukiacha makabila machache) na wavumilivu. Kweli watu ndiyo hazina kubwa ya Tanzania. Mungu ibariki Tanzania, Mungu tubariki watanzania.
 
Wewe ndo umepoteza mwelekeo wa kufikiri,ndo michango hadi sh elfu 50,na mtu anaandaa ndoa ya 60mls,ni sawa?

Kwa hiyo? Sasa kodi iliyoko kwenye bia, chapati, njegere, mapambo n.k haitoshi hadi akatwe mtu cash ya michango?

Nchi rasilimali kibao, lakini sasa kila kitu kitoke mifukoni kwa watu, si mwishowe tutalipa kodi ya meno? Kibogoyo tu ndio atanusurika
 
Serikali imekosa mwelekeo na vyanzo vya makato hadi wameona wakate kodi kwenye harusi?
Ni sawa maana watu wanakwepa kulipa kodi lakini wanachanga michango mikubwa ya harusi. Acha serikali izifuate hukohuko wanakopeleka.
 
On a very serious note leo nimeshutushwa na habari eti serikali ya mpiga zumari anataka kukusanya kodi kwenye harusi.... Ina maana mpiga zumari na watunga tenzi wake wameshindwa buni njia mpya ya mapato?

Miaka nenda rudi ongezeko la kodi lilikuwa kwenye sigara na vileo ikafikIa hatua washereheshaji na wachezaji wa nyimbo za wapiga zumari wakaanza lalama hivi hakuna ubunifu mpya wa mapato?? Sshv mpiga zumari kaja na UBUNIFU wa hali juu wa kukusanya kodi kwenye HARUSI na kukata kiu ya maswali juu ya UBUNIFU WA MAPATO.....

Nawasikitia sana wale ambao hawajaoa na kuolewa maana huko mbeleni hata kutumiza IBADA ya NUSU DINI itakuwa mtihani maana bills zinakuwa nyingi na hizi chache kuzitaja
1. Mahari ya ndoa yenyewe
2. Mkaja wa wazee
3. Gharama za siku ya kutoa na kupokea mahari
4. Gharama za sherehe za harusi
5. Kodi ya harusi

Kwa lugha nyepesi kabisa na kwa mtazamo wangu Mpiga Zumari anawaambia HARUSI ni ANASA kitu ambacho ni kinyume na mafundisho ya DINI......

Hima hima ndg zangu ambao hamjao fanyeni hima,, wale wazee wa kuda wa kutoa ridhaa ya binti zao kuolewa chungeni sana kwa mwenendo huu wa mpiga zumari mabinti watadoda majumbani....
 
kuna uwezekano hata kodi ya kichwa ikarudi ( wali iita kodi ya maendeleo)
 
Back
Top Bottom