Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,270
kidumu chama chetu hatuoi ila watoto lazima tuwe nao
Sio rahisi kiasi hicho kwa hali ya nchi ilipofikia. Lakini ni kweli Tanzania ina utajiri mkubwa sio tu kwenye madini na maliasili bali hasa kwenye raslimali watu. Watanzania ni wataratibu (ukiacha makabila machache) na wavumilivu. Kweli watu ndiyo hazina kubwa ya Tanzania. Mungu ibariki Tanzania, Mungu tubariki watanzania.
ila had majeneza walisema watakata kodi sijui waliweza, ila sasa wataleta kukata na rambi rambi kodi
Elimu kweli ni muhimu. Lakini elimu isiyo bora ni bora kutokuwa na elimu kabisa. Tafuta muda jaribu kuuliza machinga au wabeba kokoto kuhusu mambo ya uchumi, siasa nk utashangaa uelewa wao. Wako vizuri mno. Halafu leta mada hiyo hiyo humu, utasikitika na uchangiaji.Sisi wantanzania sio wapole sema atujui aki zetu za msingi shule walio wengi amna kitu weliokwenda shule wameamua kutetea matumbo yao baada ya kutetea ambao hawakwenda shule shida inaanzia hapo
Hapo waziri anakuja na na ngonjera eti haoni vyanzo? Uingereza wanaoruhusiwa kuwachangua maharusi bila kodi ni wazazi £ 3000 na bibi na babu kama sikosei ni £500 sina uhakika Kama nimepatia figure ila ukipata pesa kwa mtu baki we ni kodi kwenda mbele . Sasa hizo pesa hasa hapo bongo zinazohusu arusi ni nyingi mno na serikali iwe makiniNdiyo wengi hawalipi kodi kabisa.
Wenye kumbi kubwa wapo wanaolipa kwa sasa lakini kuna ujanja ujanja. Kodi inakatwa kwenye advance payment tu. Inabidi TRA wawe na kitengo kidogo cha kumbi za starehe. Wajue zipo wapi na zinatoza kiasi gani na ikiwezekana wawe na EFD
We unashangaa kodi ya meno? je watakapoanza kuwatoza kodi ya mattako si utahama nchi!Kwa hiyo? Sasa kodi iliyoko kwenye bia, chapati, njegere, mapambo n.k haitoshi hadi akatwe mtu cash ya michango?
Nchi rasilimali kibao, lakini sasa kila kitu kitoke mifukoni kwa watu, si mwishowe tutalipa kodi ya meno? Kibogoyo tu ndio atanusurika
Una ujua na una uhakika wa vigezo wanavyotumia hao waingereza??Hapo waziri anakuja na na ngonjera eti haoni vyanzo? Uingereza wanaoruhusiwa kuwachangua maharusi bila kodi ni wazazi £ 3000 na bibi na babu kama sikosei ni £500 sina uhakika Kama nimepatia figure ila ukipata pesa kwa mtu baki we ni kodi kwenda mbele . Sasa hizo pesa hasa hapo bongo zinazohusu arusi ni nyingi mno na serikali iwe makini
Kila kitu kinachotumiwa kwenye sherehe za harus ninaimani vinakuwa vimeisha lipiwa kodi kuanzia chakula, vinywaji hadi mavazi. Sasa kodi itakuwa inakatwa kwenye nn?
Kwahyo kila atakayekuwa anaatend aruc na yeye atapashwa kulipa kodi?Ila kumbuka pia..hata MFANYAKAZI analipa kodi ktk mshahara wake tena kila mwezi still
Anakunywa maji yanalipiwa kodi
Anakula chakula vinalipiwa kodi
Anatembelea gari..linapiwa kodi
Ananunua mahitaji mengine
Analipa kodi ya jengo
Ingekua vyema nao wafanyakazi wasitozwe kodi ya kilamwezi cz nao wanatumia vinavyolipiwa kodi
Inaelekea wakwe walikutoa upepo kweli kwelinimeongeza sababu ya kutokuoa
waheshimiwa njooni hadi huku kwenye mahari mkate 18 yenu
