NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 1,001
Waliotembea ng'ambo kila kitu ni kodi, hata hao changudoa wanaokimbizwa kila kukicha, ulaya huku ni pesa..hakuna sehemu ambayo jiji halikusanyi kodi,
Wewe ndo umepoteza mwelekeo wa kufikiri,ndo michango hadi sh elfu 50,na mtu anaandaa ndoa ya 60mls,ni sawa?
Huko wanakata kwa njia ya kodi za vifaa na mahitaji mfano jeneza, sanda, vyakula na vinywaji bila kusahau usafiriWakimalizia hapo watakuja kwenye rambirambi
Kama ni kweli huko serikalini kutakuwa kumejaa wapumbavu. Yaani Mimi ninunue vyakula na vinywaji ambavyo tayari serikali imechukua kwenye bia na soda na nilipie ukumbi ambao mwenye ukumbi anaulipia kodi ambayo Mimi ndiye ninayeilipa kwa njia moja au nyingine halafu bado mnisumbue kwa kodi huo ni upuuzi usio mithilika. Kwanin nikitumia milioni 100 Si nakuwa nimelipa watu au hiyo Pesa inakuwa imetumika vipi!? Kusanyeni kodi kwa niliowalipa na acheni wivu Wa kike. Au ndio yaleyale ya kulazimisha wenye Pesa zao wasifurahi kuzitumia!?Wewe ndo umepoteza mwelekeo wa kufikiri,ndo michango hadi sh elfu 50,na mtu anaandaa ndoa ya 60mls,ni sawa?
Uzuri kodi si hiari...mtalipa tu hata mkinuna ...Wakati unaolewa hukusema matumizi mabaya. Ila baada ya kuzeeka ndo unasema matumizi mabaya.
Acha kuwa selfish.
Watachangia wenye uwezo na nia. Wewe kama huna lala nyumbani kwako(au huko ulikopanga).Kwenye harusi wakate tu kwani zinasaidia nini kwenye jamii zaidi ya kuchangishana fedha kila uchao
Katika akili yangu sikuwahi kutambua umuhimu wa harusi katika ustawi wa ndoa ya watu husika, harusi ni show off hakuna kingine, tena serikali iongeze % ya kodi.Watachangia wenye uwezo na nia. Wewe kama huna lala nyumbani kwako(au huko ulikopanga).

Ruhusuni na ndoa za jinsia moja ili mfanane na ng'ambo pia. Au mko selective!?Waliotembea ng'ambo kila kitu ni kodi, hata hao changudoa wanaokimbizwa kila kukicha, ulaya huku ni pesa..hakuna sehemu ambayo jiji halikusanyi kodi,
Ni lazima au hiyari kuchanga katika harusi ya mtu mwingine?Kwenye harusi wakate tu kwani zinasaidia nini kwenye jamii zaidi ya kuchangishana fedha kila uchao
Kila kunakuwa na bunge la bajeti mkuuHATUKATAI KULIPA KODI... Ila tupewe na hesabu zote za matumizi ya kodi zetu...
Mimi nipo sema wapi tukutane unioneKila kitu ndio Mzee, natamani nikuone
Sio lazima mi nikutajie. Ila mtafute mwenye ukumbi au wapika vyakula kwa tenda au wenye viti vya kukodisha au wenye magari ya kukodisha maalum kwa maharusi, wapamba kumbi na ma-mc's wao watakuambia.Katika akili yangu sikuwahi kutambua umuhimu wa harusi katika ustawi wa ndoa ya watu husika, harusi ni show off hakuna kingine, tena serikali iongeze % ya kodi.
Najua hata wewe JayJay huwezi kutaja faida za harusi kama zipo taja hapa watu wazione