Zaid ya asilimia 70 ya watanzania wapo vijijin2020 Magufuli atapata kura za vijijini
Hii sio kweli, kama ni kweli basi jokery ..kituko cha mwaka 2016.. Wamekosa ubunifu na hawaoni mbali ...mimi sitaki kuamini bado kama serikali ina mpango huo.
Kwa nini hili ni kituko cha mwaka?
Mosi Harusi zinalipa kodi labda mahari ndio hailipiwi. Arusi zinafanyika kwenye ma Hall ambayo yanalipa kodi.
Harusi wafanya mapambo kwa makampuni yalosajiliwa
Arusi wananunua vinywaji vinavolipia ushuru
Arusi wana chapisha kadi xinazolipiwa kodi
Arusi wana kodi magari yanayolipiwa ushuru
Karibu kila jambo la Arusi linalipiwa kodi , sasa wazo hili sijui linataka kukata kodi kwenye sehemu gani
Kwa ukweli Taifa lolote imara lenye maadili mema linapatikana kutokana na ndoa zinazo tambuliwa ambapo familia hules watoto ambao baadae huwa ndio viongozi wa Taifa. Ndoa ndio msingi wa kukuwa kwa watu . Bila wayu hakuna Taifa. Hivyo Ndoa sio jambo la anasa ni la lazima la kufa na kupona. Wenzetu nchi nyengine ili kulinda maadili mema serikali zao hutoa funds kwa vijana wanao taka kuoa...wengine husaidiwa hata nyumba za kuanza maisha na wengine hupewa bure gharama zote za Arusi. Yote haya ni kwa nia ya kujenga taifa lenye maadili na kuepusha watoto wa mitaani.
Unapo anza kuweka gharama katika ndoa kwa njia ya kodi ina athari sana kwa vijana kukaa bila ya ndoa , na wengine kuamua kukaa ma baro baro bila kuoa.
Kama ni ukweli basi ni upotevu . Viongozi wa dini walikemee serikali inapaswa kuhimiza ndoa ..kuondoa uchafu katika jamii na kupunguza ukimwi. Ikiwezekana ichangie gharama za arusi hata kwa mikopo..
Hivi serikali zetu zina ogopa nini kuangalia upya sera za madini na kuweka mipango madhubuti ya kupata faida zaidi huko ? Kila kiongoxi akija anakuja na sera za kukamua raia ...huku kwenye madini gas wapo kimya kabisa na hakuna mwenye uchungu kabisa..mna faidikia huko .
Kama kweli hilo la kodi ya arusi ni upotovu mkubwa kabisa ambao haujawahi kufanywa
kwani wanaolipia harusi wote ni wafanyakazii?Kwahyo kila atakayekuwa anaatend aruc na yeye atapashwa kulipa kodi?
Kumbuka mfanyakazi anagenerate income while haruc zinafanya expenditure ambzo znakuwa zimeisha lipiwa kodi. Sasa utakataje kodi kwenye expenditure?
you made ma day! haaaa haaa ko ukufuatilia mambo mandogo ndo utazeeka mapema?Namkumbuka jk yeye humuoni akifuatilia mambo madogomadogo na kuyazingatia ,tena sometime alikuwa anafanya hivyo hata kwa kwa mambo makubwa yanayohusu nchi mpaka taasisi zinapiga kelele kwa nini haongelei nahapo ndo alikuwa anakosea, tena sio jk tu hata mkapa humkuti akiongelea kwenye media ishu ndogo ambazo zinamalizwa huko chini, sasa huyu anazingatia vitu vidogo na kwa mwendo huu baada ya miaka kumi atakuwa kazeeka sana
Una uchizi endelea kuzini tu ukutane na moto wa jehanamnimeongeza sababu ya kutokuoa
waheshimiwa njooni hadi huku kwenye mahari mkate 18 yenu
Ahaha. Takwimu za mwaka 1970.....hahahaha jiongeze weweZaid ya asilimia 70 ya watanzania wapo vijijin
Soma text uelewekwani wanaolipia harusi wote ni wafanyakazii?
Unapofatilia mambo madogo ambayo yangemalizwa na wasaidizi wako maanayake unatumia akili nyingi kufikiri mambo mengi sna ambayo yangetatuliwa hukohuko chini . Sasa ukiletewa na mambo makubwa yanayo husu nchi kwa ujumla amabyo wewe kama koliongoz unatakiwa kutatua ,niwazi utajikuta un over work ubongo na hivyo mwili utachakaa mapema sna (kuzeeka). inasemakana bora uchoke mwili kuliko kuchoka akili kwani mwili unarestore nguvu kwa haraka kuliko akili. Mfano ishu ya trafiki na mtumia barabara inazingatiwa na rais hadi kuongelea kwenye vyombo vya habari. Hiv hakuna mambo muhimu ya kutumia muda kufikiri hanahusu wa tz zaid ya 40 milion. Hata ndani ya nyumba baba/ mwanaume kila kitu anafanya yeye na kufatilia ,nini kazi ya mke sasa ndani hapo inakuwa kero.you made ma day! haaaa haaa ko ukufuatilia mambo mandogo ndo utazeeka mapema?
Hii sio kweli, kama ni kweli basi jokery ..kituko cha mwaka 2016.. Wamekosa ubunifu na hawaoni mbali ...mimi sitaki kuamini bado kama serikali ina mpango huo.
Kwa nini hili ni kituko cha mwaka?
Mosi Harusi zinalipa kodi labda mahari ndio hailipiwi. Arusi zinafanyika kwenye ma Hall ambayo yanalipa kodi.
Harusi wafanya mapambo kwa makampuni yalosajiliwa
Arusi wananunua vinywaji vinavolipia ushuru
Arusi wana chapisha kadi xinazolipiwa kodi
Arusi wana kodi magari yanayolipiwa ushuru
Karibu kila jambo la Arusi linalipiwa kodi , sasa wazo hili sijui linataka kukata kodi kwenye sehemu gani
Kwa ukweli Taifa lolote imara lenye maadili mema linapatikana kutokana na ndoa zinazo tambuliwa ambapo familia hules watoto ambao baadae huwa ndio viongozi wa Taifa. Ndoa ndio msingi wa kukuwa kwa watu . Bila wayu hakuna Taifa. Hivyo Ndoa sio jambo la anasa ni la lazima la kufa na kupona. Wenzetu nchi nyengine ili kulinda maadili mema serikali zao hutoa funds kwa vijana wanao taka kuoa...wengine husaidiwa hata nyumba za kuanza maisha na wengine hupewa bure gharama zote za Arusi. Yote haya ni kwa nia ya kujenga taifa lenye maadili na kuepusha watoto wa mitaani.
Unapo anza kuweka gharama katika ndoa kwa njia ya kodi ina athari sana kwa vijana kukaa bila ya ndoa , na wengine kuamua kukaa ma baro baro bila kuoa.
Kama ni ukweli basi ni upotevu . Viongozi wa dini walikemee serikali inapaswa kuhimiza ndoa ..kuondoa uchafu katika jamii na kupunguza ukimwi. Ikiwezekana ichangie gharama za arusi hata kwa mikopo..
Hivi serikali zetu zina ogopa nini kuangalia upya sera za madini na kuweka mipango madhubuti ya kupata faida zaidi huko ? Kila kiongoxi akija anakuja na sera za kukamua raia ...huku kwenye madini gas wapo kimya kabisa na hakuna mwenye uchungu kabisa..mna faidikia huko .
Kama kweli hilo la kodi ya arusi ni upotovu mkubwa kabisa ambao haujawahi kufanywa
we kweli matakatakaUna uchizi endelea kuzini tu ukutane na moto wa jehanam
Mkuu unadhani mi sojui maisha yetu wote ?mi pia naguswa Kama wewe. Hakuna namna tutathubutu bila kulipa kodi.kodi haikwepeki an sasaUna ujua na una uhakika wa vigezo wanavyotumia hao waingereza??
Pia ujue pato la mtanzania na muingereza tofauti kwa maaana ya huduma zitolewazo na serikali.
Mtanzania akiugua anatakiwa akatibiwe uingereza na siyo wote only viongozi ila siyo muingereza kuja Tanzania.
Huduma nyingine zote siyo km zetu ukiachilia mbali pato ambalo ni stable na la juu compared to us.
Una ujua na una uhakika wa vigezo wanavyotumia hao waingereza??
Pia ujue pato la mtanzania na muingereza tofauti kwa maaana ya huduma zitolewazo na serikali.
Mtanzania akiugua anatakiwa akatibiwe uingereza na siyo wote only viongozi ila siyo muingereza kuja Tanzania.
Huduma nyingine zote siyo km zetu ukiachilia mbali pato ambalo ni stable na la juu compared to us.
Ndugu AKILI KIBWA. Ka nchi Ketu kweli ni kachanga nakiri ila uchanga hautuondolei kulipa kodi.hakuna mamlaka yaliyosema kwa uchanga wetu wa huduma tusilipe kodi kwani sasa mpaka Mwisho wa dunia tukiwa wachanga. Walimu na ma nurse wa nchi yetu pamoja na shida Zao ndo Hawana ujanja wa kukwepa kodi. Bwn AKILI KIBWA naomba Kwa kifupi Tu unidadavulie kiasi gani maarusi wanatengeneza, Bila kusahau MC, wapambaji na wakodisha kumbi. Waburudishaji nk ndani ya masaa halafu utoe maelezo ya kina Kwa nini nurse wetu na mwalimu walipe na hawa jamaa wasilipe.Una ujua na una uhakika wa vigezo wanavyotumia hao waingereza??
Pia ujue pato la mtanzania na muingereza tofauti kwa maaana ya huduma zitolewazo na serikali.
Mtanzania akiugua anatakiwa akatibiwe uingereza na siyo wote only viongozi ila siyo muingereza kuja Tanzania.
Huduma nyingine zote siyo km zetu ukiachilia mbali pato ambalo ni stable na la juu compared to us.
Mbona mshahara unakatwa kodi licha ya kuwa ukiupata utafanya manunuzi na mahitaji mengine ya kila siku... Jenga hoja yako upya
Kuna tofauti kati ya ndoa na harusi..!
Bile bile kuna tofauti kayi ya msiba ba kuzika...
Nayo tuyatoze kodi as yapo sawa na Arusi ni michango na watu kula ubwabwa...