linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,732
- 4,393
Ni ukila*a wa hali ya juu...hizo ni sawa na ukimpa mwanao laki 5 akanunue laptop ambayo kwayo kuna kodi kule. Sasa inakuwaje unapompa aje mtu aseme anaikata kodi, kwa bidhaa gani hapo??? Au mzuka tu na mihemko!!!!???