Harusi kuanza kulipiwa kodi

Harusi kuanza kulipiwa kodi

Serikali imekosa mwelekeo na vyanzo vya makato hadi wameona wakate kodi kwenye harusi?
Harusi za Hao walevi zinakera Sana, 250,000/=per head? Zawadi ya Kamati 1,000,000/= out-of 200 people. ?
 
Nimeona habari hii kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la jambo Leo. Kama itakuwa 18% nadhani itabadilisha sasa hizi harusi watu watafanya tu simplest ndoa kukwepa kodi na mifuko itasalimia sasa kulipia harusi
6.jpg
kama umelisoma hilo gazeti naomba utufafanulie,kodi watakata kwenye mahari,michango ya sherehe,send off au kitchen party?dadavua kidogo
 
Ndo mwisho wa uwezo wa kufikiribwa serikali hii ulipofika, eti ndo vyanzo vipya vya mapato kuiwndesha nchi! Badala ya kufocus kwenye secta za madini, gesi, kilimo, uvuvi, bandar etc wanafocus kuumiza watu kwa vikodi vya hovyo hovyo
 
kodi kila kitu no bureeeee BORA TUNAISOMA NAMBA NANYINYI FISIEM hahah wapi Eddo kula mara kumi kwa siku
 
Ndo mwisho wa uwezo wa kufikiribwa serikali hii ulipofika, eti ndo vyanzo vipya vya mapato kuiwndesha nchi! Badala ya kufocus kwenye secta za madini, gesi, kilimo, uvuvi, bandar etc wanafocus kuumiza watu kwa vikodi vya hovyo hovyo

Bado hatujafika mwisho mkuu hata sadaka nayo tutakata kodi
 
Magufuri usipokaa ukaandaa mkakati wa kutumia rasimali za nchi kama madini, gas, utalii, ardhi kwa kilomo na ufugaji, uvuvi na miundo mbinu km bandari utapiga sana kelele na walipa kodi, nchii hii inawananchi maskini ambao ata watoe mali zao zote huwezi kuendesha nchi.

Cha msingi ebu jitafakari mapema jinsi ya kutumia rasilimali mhimu tajwa hapo juu.

Umesema vyema mkuu.

Viongozi wetu ni vilaza kiasi kwamba vitu kama hivyo wanavifumbia macho.
 
Back
Top Bottom