Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 20,553
- 41,313
huku makampuni makubwa ya madini hata iyo 4% yanakwepa mpaka mahakamani mengine yakipewa misamaha...mara leo jina hili baada ya muda wanabadili...
na hata harusi zenyewe naona siku hizi ni kama hazipo, kulinganisha na miaka kumi iliyopita, maana kila week end mitaa ya mjini na hata kule kwenye fukwe za bahari ilikuwa ni kuonyeshana uwezo wa kifedha
he jamani michango ni hiari ya mtu na ile hela anayotoa imeshakatiwa kodi wether katoa mfanyakazi or mfanyabiashara hamna hela isiyolipiwa kodi so kuchangia na kuikata si haki kabisaaa duuu kuleeeeeeeeeee nakuona🙂🙂🙂🙂🙂Wewe ndo umepoteza mwelekeo wa kufikiri,ndo michango hadi sh elfu 50,na mtu anaandaa ndoa ya 60mls,ni sawa?
nilijua tu shemeji nawe utaweka kapoint haka aisee hahahahaaaMwishowe hata kugegedana kutaanza kutozwa kodi....
watakua wanabana kumbi za kufanyia shereheKwa hiyo maafisa wa TRA watakuwa wanahudhuria vikao vya harusi ili kujuwa mapato?? Je. mtu akiamua kufanya harusi bila michango watamkataza??
watakua wanabana kumbi za kufanyia shereheKwa hiyo maafisa wa TRA watakuwa wanahudhuria vikao vya harusi ili kujuwa mapato?? Je. mtu akiamua kufanya harusi bila michango watamkataza??
Wewe ndo umepoteza mwelekeo wa kufikiri,ndo michango hadi sh elfu 50,na mtu anaandaa ndoa ya 60mls,ni sawa?
Habari zenu wana JF..kwa mtazamo wangu hili swala sioni kama lina logic wala mantiki yoyote ile kwasababu kwanza,mtu anapofanya harusi si anakodi ukumbi(jengo lenye kubeba ukumbi si linalipiwa kodi..?) ananunua vinywaji(hapo si kuna tax ambayo inaenda kwa serikali? ) nk...sasa tuna rasilimali nyingi tu tunashindwa kuzitumia afu kodi inatafutwa kwa nguvu..tujifunze kutoka kwa nchi za wenzetu zilizoendelea...namna wanatumia walichonacho kuzalisha kikubwa zaidi kwa ajili ya maendeleo ....By the way.. Hao wanaotaka kodi zitozwe kwenye harusi ..uliza zao walitozwaga kodi kweli?..tuwe na hekima..sio kukurupuka..kodi this kodi that...kila kitu kodi..wakusanye kwanza kodi inavyotakiwa.. Sio wadai tu kodi kila kukicha afu wanaishia kula wengine...Mungu ibariki TanzaniaNimeona habari hii kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la jambo Leo. Kama itakuwa 18% nadhani itabadilisha sasa hizi harusi watu watafanya tu simplest ndoa kukwepa kodi na mifuko itasalimia sasa kulipia harusi
![]()
Yaani wameshangaza....Ndo mwisho wa uwezo wa kufikiribwa serikali hii ulipofika, eti ndo vyanzo vipya vya mapato kuiwndesha nchi! Badala ya kufocus kwenye secta za madini, gesi, kilimo, uvuvi, bandar etc wanafocus kuumiza watu kwa vikodi vya hovyo hovyo
akisema hapana uhusiano na wahusika utakua mashakaniHuwezi kusema 'hapana' hadi usaidiwe na uwepo wa kodi?
Imeonekana kua wa chama fulani wanafanya sana harusi kuzid wa chama kile. Hahhahahahahahahahahaaa haaa nilijua tu Mkuu MO11 lazima uongezee sabab zako zileeee za kuendelea kubaki kwenye hiki CHAMA chetu cha Kudumu cha wasiooa
Hyo wamekosea cha kufanya hawa wanaofunga harusi wangekua wanapanda miti. Mfano kila harusi wapande miche tano kuliko wanatafuta maeneo yenye mandhari nzuri ndo wanapigia picha.. Naona ingepndeza kuliko hyo walioleta ambyo italeta kero na minung'uniko kibao kwa taifaNimeona habari hii kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la jambo Leo. Kama itakuwa 18% nadhani itabadilisha sasa hizi harusi watu watafanya tu simplest ndoa kukwepa kodi na mifuko itasalimia sasa kulipia harusi
![]()
Haha baba A i c u...nikajua utasema wasubiri kwanza kama miaka miwili mitatu afu ndo waanze..kama umepata ka exposure kakutembelea nchi zilizoendelea
hautashangaa hatua hii ya serikali
utajiuliza tu mbona wamechelewa??