BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,188
- 14,346
Kipindi cha joto kwenye usafiri wa umma kinachoniumiza ni kupakana jashoKwa joto la dasalama na huo mgandamizano kwenye daladala full kubanana hata hizo harufu uwezi zisikia labda kwa waliozoea usafiri binafsi.
Basi sawaMkuu tuna watoto wetu humu ndani nashindwa kujiachia.. Lakini ukikutana nalo laini Kama supu ya mapupu basi jua limerutubishwa makusudically
Hapo kwa warangi umepatia mkuu. Mama zangu wanajua kuoga wale hatari! Yaani anajisafisha mpaka anahakikisha hatoki na kasoro kichwani mpaka miguuni! Ulogwe uvae malapa yake, mweeeh ukirudisha yaoshe! Warangi kwa usafi wa mwili wapewe maua yao aiseee!Tuje hata kwa jamii za hapa bongo walioishi na Waarabu mfano warangi , na jamii za Zanzibar ni wasafi mno , wadada wakirangi mda wote wa ng'aa na kunukia kama waridi, ndala inasuguliwa ing'aa , kajipara na uwanja , mtoto ananukia uturi kama maimuna
Ni wasafi mno wengi wao , kumbe una ndugu wa kirangi 😅 bora umekazia nilishaanza kupingwa😅Hapo kwa warangi umepatia mkuu. Mama zangu wanajua kuoga wale hatari! Yaani anajisafisha mpaka anahakikisha hatoki na kasoro kichwani mpaka miguuni! Ulogwe uvae malapa yake, mweeeh ukirudisha yaoshe! Warangi kwa usafi wa mwili wapewe maua yao aiseee!
We undelea tu usiogopeMkuu tuna watoto wetu humu ndani nashindwa kujiachia.. Lakini ukikutana nalo laini Kama supu ya mapupu basi jua limerutubishwa makusudically
Haswa
Hao hoa wachache ila wamezidi mikoa mingi ndio maana nikawatajaUmeona wachache sana ukaconclude mi nimekaaa Kondoa mwaka mmoja hao watu nimeona kwenye hygiene wapo kawaida sana.
Anayebisha hajaishi nao. Ni wasafi sana kwakweli. Ukikutana na mdada wa kirangi mchafu ujue huyo hajakulia kwao au hajalelewa na mama mrangi aliyekulia urangini.Ni wasafi mno wengi wao , kumbe una ndugu wa kirangi 😅 bora umekazia nilishaanza kupingwa😅
Labda hukuwazingatia.Umeona wachache sana ukaconclude mi nimekaaa Kondoa mwaka mmoja hao watu nimeona kwenye hygiene wapo kawaida sana.
Nauli bei gani.. Wadada wasafi wana nafasi yao mbunguni.. Hawachoshi unaweza kutoweza tonge kwenye kibumunda chakeAnayebisha hajaishi nao. Ni wasafi sana kwakweli. Ukikutana na mdada wa kirangi mchafu ujue huyo hajakulia kwao au hajalelewa na mama mrangi aliyekulia urangini.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ongezea miguu/viatu vilivyovunda na unyevu, alafu kwenye mwendokasi Kuna zile ndoo za samaki
[emoji23][emoji23][emoji23]Wanaonuka midomo WENGI Huwa wanakula sana protein au waloshimda njaa.
AISE mkuu papuchi inanuka baana MTU kavaa vizuri suruali yake kajipodoa Kwa basi umekaa nae ikifika saa 7 mpaka10 aiseh, combination ya jasho na harufu mbaya.
Nandori, [emoji23][emoji23][emoji23]kuna mdudu fulani kama kobe , mdogo sana , wanapenda kufauta mwanga wa taa .. kipind hiki cha mvua wanajaa sana kama ukiwasha taa . Aisee , mdudu ananuka huyo .
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu wanajanaba hata ikoge vipi halitoki kwa siku moja. Unajiuliza yule ni mtu au mfu kudadeki.
Kuna siku nilifanya vibaya, jino liliniuma hatari. LolView attachment 3585091
Ukimaliza kula yale mapande ya mbuzi na ng'ombe kabla ya ile romantic moment, please tembea na hivi vitu kwenye pochi, wallet yako. Ukienda supermarkets nyingi wanazo. Zinaitwa "dental floss"
[emoji23][emoji23][emoji23]Harufu mbalimbali, watu wachafu sana..!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Harufu ya mvuta sigara baada ya kula wali samaki combination mbaya sana.
HaswaaaHapo kwa warangi umepatia mkuu. Mama zangu wanajua kuoga wale hatari! Yaani anajisafisha mpaka anahakikisha hatoki na kasoro kichwani mpaka miguuni! Ulogwe uvae malapa yake, mweeeh ukirudisha yaoshe! Warangi kwa usafi wa mwili wapewe maua yao aiseee!