Godz favourite
Member
- Mar 16, 2015
- 75
- 28
Kama nyoka ananukia ubwabwa basi sipatii picha ukila wali nyoka... Itakuwa noma
Kama nakumbuka kitu hapa iyo mrusi kwa mbalimbaliUkisikia hiyo harufu anza kupiga mluzi taratibu......taratibu........taratibu
Haaa haaaaaaaa, yaani we jamani!Mkuu Me sitakimbia nitaifuata harufu ya wali nikiwa na ndizi, pilipili na pepsi ya baridi.
Ni kweli simulizi za kale nyingi ni za kusadikika, lengo ni kuonya, pia watu wawe makini na jambo fulanimara nyng masimuliz za mababu huwa niza uongo uongo napia zimekaa ktk hali ya kusadikika,eg harufu porini wanadai ni nyoka kumbe ni jamii ya miti na maua huwa hutoa hzo harafu.mfano mwngne uchawi na enyewe upo katika hali hyo hyo yakufikirika haupo ktk uhalisia.
Ulichoandika ni sahihi.ila hakuna msosi mzuri utakaowahi kutokea kama wali nyama arage na mchicha. Uhenda haya majoka makubwa yameamua kujichanganya kwenye hii mechanism kuwavutia vitoweo vyao,
Hata mimi niliwahi kuambiwa hivyo, ukisikia harufu basi majini yanapika.Sisi tuliambiwa na watoto wenzetu kwamba ukisikia harufu ya wali ujue ni majini.
Inasemekana Nyoka anapojivua gamba ndipo hutoa harufu ya ubwabwa. Ila nilishapata hiyo harufu.na je umeshanusa iyo harufu? Mimi nilishawahi mara nyingi
Kama nyoka ni miungu waumini wake ni nani hao wasio na akili?Katika ulimwengu huu kuna mambo mengi mno ya ajabu, kuna kitu kinaitwa miungu, hawa miungu wamegawanyika katika sehemu nyingi, kwenye mito,milima,mapango na mabwawa. Katika hali ya kupatika kwa harufu ya wali huwa mambo mawili, kwanza ni makazi ya miungu hao pili ni makazi ya nyoka ambae kwa namna moja au nyingine nae pia ni miongoni mwa miungu. Unaweza wakati mwingine ukakuta hata vyungu vya kupikia mahala hapo
Kuna miti inatoa maua ambayo yanatoa hiyo harufu.Vipi kuhusu harufu ya bao...kuna wakati ukiwa porini unawesikia harufu ya bao ni kama vile kuna watu wanakwichi kwichi..ni nini hii
Huuuuh iv ni kwelyUdogoni niliambiwa ukisikia hvo ujue kuna chatu karibu.