Atclkwanza
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 823
- 1,002
Kweli mkuu hasa kwa sisi wakulima na wafugaji hiyo harufu kawaida sana porini ni nyoka anajivua gamba tena wa kawaida tu wala sio chatuMie nakumbuka zamani nilikuwa naambiwa eneo hilo lina nyoka anayejivua gamba wakati huo!