Harufu ya ubwabwa porini

Harufu ya ubwabwa porini

majin hayo sio nyokaa sabb hii harufu huwa mara nyingii inasikika usiku afu hufanya nywele zako kunyanyuka kama zinaongezekaa urefu vilee
 
Habari za jumapili wana JF.
Bila kupoteza muda wadau naomba kuuliza,Je ile harufu ya wali (wali nazi) ambayo tunaisikia tukiwa porini au msituni tena sehemu ambayo haina makazi ya watu inatokana na nini?


Kuna harufu ya majangili hapo huenda wanajipikia ubwabwa.
 
Habari za jumapili wana JF.
Bila kupoteza muda wadau naomba kuuliza,Je ile harufu ya wali (wali nazi) ambayo tunaisikia tukiwa porini au msituni tena sehemu ambayo haina makazi ya watu inatokana na nini?
Cc. mshana jr
Habari za jumapili wana JF.
Bila kupoteza muda wadau naomba kuuliza,Je ile harufu ya wali (wali nazi) ambayo tunaisikia tukiwa porini au msituni tena sehemu ambayo haina makazi ya watu inatokana na nini?


Kuna harufu ya majangili hapo huenda wanajipikia ubwabwa.

Vipi tena mkuu hapo ID´s ,umejichanganya!
 
Nilisha wahi kuskia harufu kama hio kipindi cha nyuma kidogo maana makazi ya babu yangu yalikua karibu na kimsitu basi Babu akawa anasemaa kunanyoma hapo Mkubwa toka enzi hizo Ila baadae alikutwa kafa sijui ndo siku zake za mwisho. Eneo kma hilo ni La kuogopa
 
Hilo la nyoka kufungua mdomo itakuwa kamba tu maanake nimewahi kuhudhuria maonesho yanayohusu nyoka mara kadhaa hasa chatu na walikuwa wanapiga miayo lakini hiyo harufu ya beche haikuwa ikinukia.

Yawezekana ni utomvu wa miti au maua tu.
naona unathibitisha kuhudhulia mikutano ya chama chenu. chama cha magamba.
 
Habari za jumapili wana JF.
Bila kupoteza muda wadau naomba kuuliza,Je ile harufu ya wali (wali nazi) ambayo tunaisikia tukiwa porini au msituni tena sehemu ambayo haina makazi ya watu inatokana na nini?
Cc. mshana jr
Mkuu sasa si uende nalo bakuli kabisa ukapakue uko misituni ujue mwisho wake
 
Ukiskia harufu ya ubwabwa kichakani au sehemu ambayo hamna makazi ya watu au usiku wa manane.Hao ni vibwengo na sherehe zao,wanajivinjari si mchezo aisee!
 
mara nyng masimuliz za mababu huwa niza uongo uongo napia zimekaa ktk hali ya kusadikika,eg harufu porini wanadai ni nyoka kumbe ni jamii ya miti na maua huwa hutoa hzo harafu.mfano mwngne uchawi na enyewe upo katika hali hyo hyo yakufikirika haupo ktk uhalisia.
 
Kuna majani flani huwa kama Nyasi huvi ndio huwa na desturi ya kutoa hiyi harufu hasa yakiwa makavu na ni kipindi cha jua kali, na ndio maana huwezi kuisikia hiyo harufu kipindi cha mvua ikinyesha au sehemu yenye kijani kibichi
 
Back
Top Bottom